Ndg.MWASALEMBA.
Senior Member
- Dec 18, 2013
- 141
- 280
Salama!
Awali ya yote na declare interest kuwa hakika uyu Jamaa mimi binafsi namuona ni mfano bora. Ni bora hasa kwa kaya nyingi sana za kiTanzania,ambazo ni watafutaji wao sio waliokuta mali au mazingira bora tayari.
Maisha yake yanafaa kuigwa na kijana mtafutaji yeyote wa kiTanzania mwenye kuhisi unyonge, kutengwa, kutoweza kufanya jambo na yeyote anaetoka katika familia isiyo na ukwasi wa mali!
Nakusihi, pamoja na mapungufu yake jamaa ni real mfano, na wewe unaweza. ..hapa nazungumzia na nawahasa wale tusio na wajomba wa kutushika mkono ili tupete kwenye fursa au dili flani. ..you can make it on your own.
Lolote linawezekana, kuwa binadam ni sababu tosha wewe kufikia malengo yako, unaweza...
Hata kama ni mvivu wa kusoma vitabu vya kiada, basi nenda kwa hiki cha ziada cha SUGU; Maisha na Muziki, naamini hautatoka kapa...maisha ni haya haya, wewe ndio muamuzi wa maisha yako.
Angalia hii attached video ya Sugu, ulikuwa mwaka 1996, leo ni 2015 yaani miaka 19 baadae, naamini kabisa huyu jamaa hakuandika mkakati wa maisha yake kwamba atapita hapa na pale, lakini naamini sana yeye aliinuka na kufanya Kile alichoamini ni sahihi. ..LIFE IS A LOOONG WAY TO GO, NEVER GIVE UP.
Jifunze kitu toka kwenye hiyo video attached.
Regards,
Mtafutaji..
Awali ya yote na declare interest kuwa hakika uyu Jamaa mimi binafsi namuona ni mfano bora. Ni bora hasa kwa kaya nyingi sana za kiTanzania,ambazo ni watafutaji wao sio waliokuta mali au mazingira bora tayari.
Maisha yake yanafaa kuigwa na kijana mtafutaji yeyote wa kiTanzania mwenye kuhisi unyonge, kutengwa, kutoweza kufanya jambo na yeyote anaetoka katika familia isiyo na ukwasi wa mali!
Nakusihi, pamoja na mapungufu yake jamaa ni real mfano, na wewe unaweza. ..hapa nazungumzia na nawahasa wale tusio na wajomba wa kutushika mkono ili tupete kwenye fursa au dili flani. ..you can make it on your own.
Lolote linawezekana, kuwa binadam ni sababu tosha wewe kufikia malengo yako, unaweza...
Hata kama ni mvivu wa kusoma vitabu vya kiada, basi nenda kwa hiki cha ziada cha SUGU; Maisha na Muziki, naamini hautatoka kapa...maisha ni haya haya, wewe ndio muamuzi wa maisha yako.
Angalia hii attached video ya Sugu, ulikuwa mwaka 1996, leo ni 2015 yaani miaka 19 baadae, naamini kabisa huyu jamaa hakuandika mkakati wa maisha yake kwamba atapita hapa na pale, lakini naamini sana yeye aliinuka na kufanya Kile alichoamini ni sahihi. ..LIFE IS A LOOONG WAY TO GO, NEVER GIVE UP.
Jifunze kitu toka kwenye hiyo video attached.
Regards,
Mtafutaji..