Joseph Mbilinyi (Sugu) yupo wapi? Kimya chake kinatupa taharuki

Joseph Mbilinyi (Sugu) yupo wapi? Kimya chake kinatupa taharuki

Mtu Asiyejulikana

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2017
Posts
2,254
Reaction score
5,161
Sugu simama uhesabiwe. Huu ukimya wako maana yake ni? Wewe umesaliti Mwenyekiti? Hata wewe? Au umeamua kutumia busara? Muda ni wakati mzuri. Ni wakati wa kusimama kuhesabiwa.

Tunaona watu ambavyo wanamkataa mwenyekiti. Tena inashangaza watu wa CDM ndo leo hii wanampinga Mwamba. Yeye Sugu amenyamaza tu.

Hadi CCM leo hii wanaona umuhimu wa Mwenyekiti. Yeye CDM ananyamaza.kweli? Hii si sawa kabisa.tunataka tumsikie Sugu. Au kama ametumia busara sawa. Aseme tu tujue moja.

Boni Yai alizungumza...akanyamaza. sijui naye nani alimshika sikio. Anapaswa apambane. Asinyamaze. Mnamwacha mwenyekiti na akina Ntobi?kweli? Yaani Ntobi na Yericko ndo wakumpambania mwenyekiti?ninyi mmenyamaza?
 
Sugu simama uhesabiwe. Huu ukimya wako maana yake ni? Wewe umesaliti Mwenyekiti? Hata wewe? Au umeamua kutumia busara? Muda ni wakati mzuri. Ni wakati wa kusimama kuhesabiwa.

Tunaona watu ambavyo wanamkataa mwenyekiti. Tena inashangaza watu wa CDM ndo leo hii wanampinga Mwamba. Yeye Sugu amenyamaza tu.

Hadi CCM leo hii wanaona umuhimu wa Mwenyekiti. Yeye CDM ananyamaza.kweli? Hii si sawa kabisa.tunataka tumsikie Sugu. Au kama ametumia busara sawa. Aseme tu tujue moja.

Boni Yai alizungumza...akanyamaza. sijui naye nani alimshika sikio. Anapaswa apambane. Asinyamaze. Mnamwacha mwenyekiti na akina Ntobi?kweli? Yaani Ntobi na Yericko ndo wakumpambania mwenyekiti?ninyi mmenyamaza?
Team Mbowe wanatufa kura. Team Lissu wanatafuta matusi yamwagwe mitaandaoni
 
Sugu hajui awe upande upi 😹
Km kashindwa kumtetea mkewe kwa mzazi mwenzie Faiza ndo ataweza kwa mbowe
 
Sugu simama uhesabiwe. Huu ukimya wako maana yake ni? Wewe umesaliti Mwenyekiti? Hata wewe? Au umeamua kutumia busara? Muda ni wakati mzuri. Ni wakati wa kusimama kuhesabiwa.

Tunaona watu ambavyo wanamkataa mwenyekiti. Tena inashangaza watu wa CDM ndo leo hii wanampinga Mwamba. Yeye Sugu amenyamaza tu.

Hadi CCM leo hii wanaona umuhimu wa Mwenyekiti. Yeye CDM ananyamaza.kweli? Hii si sawa kabisa.tunataka tumsikie Sugu. Au kama ametumia busara sawa. Aseme tu tujue moja.

Boni Yai alizungumza...akanyamaza. sijui naye nani alimshika sikio. Anapaswa apambane. Asinyamaze. Mnamwacha mwenyekiti na akina Ntobi?kweli? Yaani Ntobi na Yericko ndo wakumpambania mwenyekiti?ninyi mmenyamaza?
Sugu ni mwanasiasa mwenye maarifa,utu,weledi na mcha Mungu kupindukia.Majuzi nilikuwa naye Kyela anapiga mzigo 24/7 hataka ujinga ujinga asilimia 89.5 ya wapiga kura kutoka kanda yake watampigia kura Mheshimiwa Mbowe.
 
Sugu simama uhesabiwe. Huu ukimya wako maana yake ni? Wewe umesaliti Mwenyekiti? Hata wewe? Au umeamua kutumia busara? Muda ni wakati mzuri. Ni wakati wa kusimama kuhesabiwa.

Tunaona watu ambavyo wanamkataa mwenyekiti. Tena inashangaza watu wa CDM ndo leo hii wanampinga Mwamba. Yeye Sugu amenyamaza tu.

Hadi CCM leo hii wanaona umuhimu wa Mwenyekiti. Yeye CDM ananyamaza.kweli? Hii si sawa kabisa.tunataka tumsikie Sugu. Au kama ametumia busara sawa. Aseme tu tujue moja.

Boni Yai alizungumza...akanyamaza. sijui naye nani alimshika sikio. Anapaswa apambane. Asinyamaze. Mnamwacha mwenyekiti na akina Ntobi?kweli? Yaani Ntobi na Yericko ndo wakumpambania mwenyekiti?ninyi mmenyamaza?
Sugu ni Mwenyekiti wa Kanda, ana Majukumu mengi mno kuliko hayo unayoyataka wewe, Kura yake ni moja tu, na atampigia anayemtaka.

Juzi tulikuwa naye Njombe kwenye hukumu ya George Sanga.

Kingine ni hiki, Yeyote atakayeshinda atalazimika kwa miaka mitano kufanya kazi na Sugu maana tayari yeye ndiye Boss wa Kanda ya Nyasa
 
Sugu ni mwanasiasa mwenye maarifa,utu,weledi na mcha Mungu kupindukia.Majuzi nilikuwa naye Kyela anapiga mzigo 24/7 hataka ujinga ujinga asilimia 89.5 ya wapiga kura kutoka kanda yake watampigia kura Mheshimiwa Mbowe.
Unaonekana ni "mtu wake wa karibu sana😁" safi sana. Hajambo lakini? Hamjambo wote? Na wewe hali yako ikoje? Na yule binti walisema alizaa na mkewe mwingine maendeleo yenu?
 
Sugu ni Mwenyekiti wa Kanda, ana Majukumu mengi mno kuliko hayo unayoyataka wewe, Kura yake ni moja tu, na atampigia anayemtaka.

Juzi tulikuwa naye Njombe kwenye hukumu ya George Sanga.

Kingine ni hiki, Yeyote atakayeshinda atalazimika kwa miaka mitano kufanya kazi na Sugu maana tayari yeye ndiye Boss wa Kanda ya Nyasa
Usizunguruke, mshindi ashajulikana MBOWE, Lissu atakuwa mwenyekiti wa maria space
 
Sugu ni Mwenyekiti wa Kanda, ana Majukumu mengi mno kuliko hayo unayoyataka wewe, Kura yake ni moja tu, na atampigia anayemtaka.

Juzi tulikuwa naye Njombe kwenye hukumu ya George Sanga.

Kingine ni hiki, Yeyote atakayeshinda atalazimika kwa miaka mitano kufanya kazi na Sugu maana tayari yeye ndiye Boss wa Kanda ya Nyasa
Mkuu kuna wewe halafu kuna sisi lisu asiposhinda tunaachana na chama kabisa.
 
Sugu ni mwanasiasa mwenye maarifa,utu,weledi na mcha Mungu kupindukia.Majuzi nilikuwa naye Kyela anapiga mzigo 24/7 hataka ujinga ujinga asilimia 89.5 ya wapiga kura kutoka kanda yake watampigia kura Mheshimiwa Mbowe.
Anawashawishije kuhusu Mbowe?
 
Back
Top Bottom