johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Anamsaidia Balozi Michael kufunga mizigo 🐼Team Mbowe wanatufa kura. Team Lissu wanatafuta matusi yamwagwe mitaandaoni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anamsaidia Balozi Michael kufunga mizigo 🐼Team Mbowe wanatufa kura. Team Lissu wanatafuta matusi yamwagwe mitaandaoni
Pesa za abdul zimewaziba mdomo chadema wengi hata lema pia
Ingekua ni wewe kwa hizi mvua za spana na nyuzi za kumkataa mbowe ungejitokeza kweli.? Alafu hawawezi kutoka tu na kuongea olihali wanajua je kama.nao hawamkubali mwamba ai washa soma alama za nyakati. Akili mtu wangu inahutajikaSugu simama uhesabiwe. Huu ukimya wako maana yake ni? Wewe umesaliti Mwenyekiti? Hata wewe? Au umeamua kutumia busara? Muda ni wakati mzuri. Ni wakati wa kusimama kuhesabiwa.
Tunaona watu ambavyo wanamkataa mwenyekiti. Tena inashangaza watu wa CDM ndo leo hii wanampinga Mwamba. Yeye Sugu amenyamaza tu.
Hadi CCM leo hii wanaona umuhimu wa Mwenyekiti. Yeye CDM ananyamaza.kweli? Hii si sawa kabisa.tunataka tumsikie Sugu. Au kama ametumia busara sawa. Aseme tu tujue moja.
Boni Yai alizungumza...akanyamaza. sijui naye nani alimshika sikio. Anapaswa apambane. Asinyamaze. Mnamwacha mwenyekiti na akina Ntobi?kweli? Yaani Ntobi na Yericko ndo wakumpambania mwenyekiti?ninyi mmenyamaza?