Joseph Mbilinyi (Sugu) yupo wapi? Kimya chake kinatupa taharuki

Pesa za abdul zimewaziba mdomo chadema wengi hata lema pia

Siamini lakini nataka kuamini...Lema, Sugu, Mnyika, Boni yao na M Maranya kimyaaaaa Kama mmma mtungini.,tutajuaje kuwa ni mbegu Bora au feki? Ni wakati Sasa wa kusimama na kuhesabiwa bila hivyo ni undumila kuwili ili wajaze matumbo yao
 
Ingekua ni wewe kwa hizi mvua za spana na nyuzi za kumkataa mbowe ungejitokeza kweli.? Alafu hawawezi kutoka tu na kuongea olihali wanajua je kama.nao hawamkubali mwamba ai washa soma alama za nyakati. Akili mtu wangu inahutajika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…