Librarian 105
JF-Expert Member
- May 6, 2023
- 261
- 356
Mkuu unaanzaje Ku argue na MTU mjinga kama Msukuma au nawe upo level zake?
Mkuu unaanzaje Ku argue na MTU mjinga kama Msukuma au nawe upo level zake?
Hapana mkuu. Hua kuna njia ya kuamsha wengine waliolalaMkuu unaanzaje Ku argue na MTU mjinga kama Msukuma au nawe upo level zake?
Jamaa ni Dr huyo.....tena chuo cha mlimani wamemtunuku...Mkuu unaanzaje Ku argue na MTU mjinga kama Msukuma au nawe upo level zake?
Kukaa kimya nako ni mbayaKweli unapoteza muda kweli Kwa mtu kama Msukuma??
ndo madhara ya phd za heshimaHuu ni upumbavu wa kutishiana dola kwenye dunia hii ya utandawazi, mbunge kama anaona kuna watu wanavunja sheria aende police akafungue docket, police hawawezi kukamata mtu bila docket, na kuwa linked na crime scene, Tanzania hii ina watu vihiyo mno