Joseph Musukuma wananchi wa mkoa wa Geita hawakuelewi, pia kubaliana na kauli ya Dkt. Bashiru Ally Kakurwa

Joseph Musukuma wananchi wa mkoa wa Geita hawakuelewi, pia kubaliana na kauli ya Dkt. Bashiru Ally Kakurwa

peno hasegawa

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2016
Posts
14,255
Reaction score
23,949
Kwa mateso wanayoyapata wananchi wa kanda ya ziwa baada ya kifo cha mpendwa wao, ni wazi wananchi wa Geita hawamuelewi Joseph Musukuma anakotaka kuwapeleka.

Hadi sasa wananchi wa Geita vijijini wanatembea kms 120 kutoka katoro kwenda makao makuu ya wilaya ambapo ni Nzera alikohamishia Ofisi Musukuma.

Leo anamkosoa Dr Bashiru Ally Kakurwa? ETI mama Ana upiga mwingi?
Ni wazi Hakuna kilichofanyika Jimbo la Joseph Musukuma tangu JPM alipofariki, Leo anamtetea Samia kwa lipi?

Jimbo lote la Joseph Musukuma halina maji Wala barabara ya nusu kms Za lami, Leo anamtetea Samia?

Joseph Musukuma anatumiwa na ccm kuweka Hali ya hewa sawa mkoa wa Geita ila haiwezekani Hata kidogo.

Kuna barabara ipo kwenye ilani ya ya ccm kutengenezwa kutoka Geita hadi Kahama , ni vumbi naa as Mashingo mwanzo mwisho kms 58 tu, ccm na serikali yake imeshindwa kuiweka lami kipindi cha awamu ya sita, Joseph Musukuma huoni hilo?

Joseph Musukuma mkoa wa geita ulitapeliwa na Waziri wa nishati kuwa umepatiwa 57 bilioni Za kusambaza umeme vijini , hadi leo Hakuna umeme na hakuna fedha, Joseph Musukuma huoni hilo?

Joseph Musukuma kituo cha afya katoro wamama wanajifungua wakiwa wamelala watatu kitanda kimoja , hilo Bali hujaliona awamu hii ya sita?

Ujambazi na mauaji yamezidi mkoa wa Geita awamu hii ya sita, Joseph Musukuma huoni hilo?

Joseph Musukuma , barabara ya nzera ( jimboni kwako)hadi sengerema ipo kwenye ilani ya ccm kutengenezwa kwa Kiwango cha lami, ila awamu ya sita imeshindwa. Joseph Musukuma huoni hilo?

Joseph Musukuma barabara kutoka Geita hadi Jimboni kwako nzera makao makuuya wilaya kms 50 ni vumbi na mashimo na Hakuna majengo ya Halmashauri wala nyumba Za kuishi watumishi, awamu ya sita imeshindwa kulifanyia kazi. Huoni hilo?

Joseph Musukuma , Kijiji cha kamwanga kiko jimboni kwako Hakuna maji, umeme, soko, barabara ya kwenda huko Wala hakuna shule Wala kituo cha afya. Awamu ya sita imeshindwa kukusaidia. Huoni hilo?

Joseph Musukuma huko Nzera wavuvi wanalia na kuzurura tu hawana vifaa vya kuvua samaki, una habari hizo?

Joseph Musukuma, wakazi wa Jimbo lako wanaishiekwa kuuza mikaa Ili wapate mlo wa siku, na msitu wa Geita sasa umeisha wataushije? Una habari hizo?

Joseph Musukuma fika kata ya Nyamatagata iliyoko Jimboni kwako, Hakuna umeme, maji , kituo cha afya Wala barabara una habari hizo?
 
Bora samia tuna uhuru hata wa kuchati na kudoji kazini.

Mwamc wa chata hata chawa walikuwa wanapiga mikwara hadi unaogopa.

Samia hadi 2030 anakuja makamba.

Nb. Msukuma anakubalika geita kuliko hata magu
 
Hahahaha kwani hizo Barbara ambazo hazijajengwa JPM hakuziona? Mie nikadhani JPM alijenga ila hazijamalizwa kumbe zilikua Bado KABISA!! Bado unadai hakuna kituo cha afya Wala shule Ina maana JPM naye alikuta hawana shule na amewaacha hivyo! Sasa how comes lawama kwa Samia? Why usimlaumu JPM kuendeleza chato peke yake na kusahau matatizo unayoorodhesha hapa.

Hahahaha
 
Hahahaha kwani hizo Barbara ambazo hazijajengwa JPM hakuziona? Mie nikadhani JPM alijenga ila hazijamalizwa kumbe zilikua Bado KABISA!! Bado unadai hakuna kituo cha afya Wala shule Ina maana JPM naye alikuta hawana shule na amewaacha hivyo! Sasa how comes lawama kwa Samia? Why usimlaumu JPM kuendeleza chato peke yake na kusahau matatizo unayoorodhesha hapa.

Hahahaha
Samia alikuwa Makamu wa Rais na Jimbo ni la Joseph Musukuma.
 
Samia alikuwa Makamu wa Rais na Jimbo ni la Joseph Musukuma.
Sasa Makamu ndio anasaini Sheria ya bajeti? Embu acheni unafiki!! Mlipokua mnamsifia JPM kujenga vituo vya afya Kila wilaya, sijui shule Kila kata, sijui Barbara Kila wilaya mlikua wapi kusema ukweli kuwa Kuna maeneo Geita hayana shule Wala kituo cha afya? Tuliaminishwa JPM kafanya Kila kitu eti Leo katoka ndio mnalilia Barabara na shule Geita?

Unafiki unawasaidia Nini?
 
Musukuma ni Takataka la Kisiasa!

Na kuwa na wabunge aina ya Musukuma ni mojawapo ya majanga ya kitaifa!

Hawa ndio wabunge wanaowaza kwa kutumia "Tumbo"
 
Ni mtu hara
Musukuma ni Takataka la Kisiasa!

Na kuwa na wabunge aina ya Musukuma ni mojawapo ya majanga ya kitaifa!

Hawa ndio wabunge wanaowaza kwa kutumia "Tumbo"
Ni mtu hatari sana, kipindi cha JK alikuwa upande wake, alipojaribu Lowassa kugombea Urais Ali kuwa upande wa Lowassa, kipindi cha JPM , Musukuma alikuwa amehamia chato sasa ni samia, Musukuma anataka kuhamia Unguja.
 
Sasa Makamu ndio anasaini Sheria ya bajeti? Embu acheni unafiki!! Mlipokua mnamsifia JPM kujenga vituo vya afya Kila wilaya, sijui shule Kila kata, sijui Barbara Kila wilaya mlikua wapi kusema ukweli kuwa Kuna maeneo Geita hayana shule Wala kituo cha afya? Tuliaminishwa JPM kafanya Kila kitu eti Leo katoka ndio mnalilia Barabara na shule Geita?

Unafiki unawasaidia Nini?
Musukuma bungeni ni sawa na muimbaji kwaya kanisani.
Sio msaada kwa CCM wala wapiga kura wake.
 
Musukuma ni mpuuz na mjinga kuliko wote huko lumumba ukijumuisha na wale ungaunga humu jf.
 
Bora samia tuna uhuru hata wa kuchati na kudoji kazini.

Mwamc wa chata hata chawa walikuwa wanapiga mikwara hadi unaogopa.

Samia hadi 2030 anakuja makamba.

Nb. Msukuma anakubalika geita kuliko hata magu
labda Geita la makorido ya lumumba.
 
*UCHAWA NDO UNAARIBU NCHI,TUMEKUA NA MIZEE “”michawa”isiyo na aaibu iwe wkt wa JPM ama SAMIA ‘kizazi cha ovyo kabisa
 
Back
Top Bottom