Joseph Musukuma: Wazungu wanatuwekea ushoga kwenye chanjo; haiwezekani binti wa miaka 10 avae sidiria

kama ni hivo kwwnini msitengeneze chanjo zenu?? hiyo akili ya kugundua mngeitumia kutengeneza chanjo zisizo na ushoga
Kutengeneza chanjo sio kazi ndogo kama unavyodhani mkuu. Vitu vidogo tu vinawashinda kutengeneza, chanjo wataziwezea wapi?
 
Una wataalamu wako wa kuhakiki ubora wa chanjo eeh? Are you serious? Ni mtaalamu gani anawsza kuhakiki contents zilizomo kwenye chanjo hapa nchini Tanganyika?
 
Kanjbhai upo sahihi umenena jamaa ana akili ya kutafuta pesa ila hana academic reasoning
 
Mnakula vyakula vya hovyo halafu mnasingizia wazungu. Akili mbovu kabisa!
 
Hawa Wazungu tunawaosingizia ubaya ndio watengeneza Tiba na Vifaa Tiba vinavyotumika nchini. Elimu ya Utabibu biomedical imetoka kwao. Halafu hormone za Ushoga zinaitwaje na ziko Eneo gani mwilini?
Mkuu homoni za ushoga are not extracted from the human body; they are purely synthetic substances.
 
Tufanye utafiti ili tujue hakuna connection,tunaogopa nini?No research no right to speak.Ni ujinga uliokithiri kutumia chochote bila kuhakikisha kwamba it is safe,na ndio maana kitaifa tuna institutions za kufanya kazi hizo.Watoto hawaelewi darasani,watoto wadogo matiti yanafika kitovuni,watoto wanakuwa mashoga,watoto tabia hazieleweki,magonjwa ya ajabu ajabu kama cancers,mgongo wazi,heart diseases,diabetes,herpatitis A,B,C,D etc.yamejaa wala hatupo concerned,tupo tupo tu,kama mataihira vile.No, it is time to wake up and do something.
 
Beware of politicians! A person cannot just claim he conducted research and be said to have conducted research. Conducting research is more than just saying it. I would have liked to hear more than what he said so that I may be persuaded. Otherwise, as I've always mentioned it I'm a disciple of a French mathematician, scientist and philosopher Rene des Cartes and espouse his 'methodical doubt' - meant to search for certainty and avoid being misled. There are many people who claim to have conducted research, but what they mean is that they saw some girls with enlarged breasts and because they are witch hunters, they can easily say the problem is caused by vaccines from outside. I cannot buy it! He has to prove to me more than what he has simply claimed to have done.
 
No research, no right to speak. I said it early but let me repeat. The only thing that people can understand is for you to conduct a simiar research to prove Dr Msukuma wrong or right. Unless you conduct a further research, Msukuma's findings are there to stay.
 
What type of research did he conduct? This is what I'm questioning - I want to know the methodology he used, sample size, was it qualitative, quantitative or mixed methods research? He cannot just say he conducted research and then be said to have conducted research. That would be cheap reasoning ndugu!
 
Awfully im wondering to read this kind of sentiment from a senior member of GTs!!
Are you just an activist against your GOT or just a normal citizen like me wishing to have some positives changes that make sense??

Why he pin points on Vaccines whereas we import a bunch of items from those whites??
Why not Contraceptive pills? Why not GMO/Canned food and drinks?
What about those yung girls/boys who show up their secondary sexual characters in the late adolescence?? What're the drawbacks?
 
Let us do our own research and prove him wrong,just saying
he has not carried out the right type of research to be able to make the conclusions he is making is not the way, kwa kuwa ni kweli wanaweka hormones kwenye pipi,dawa za kuswakia,vyakula vya misaada,chanjo nk.nk.,we know it,and we have evidence,so lazima tuwe makini.Hivi umeshawahi kusikia Contraceptive Maize wewe,mahindi hayo yapo👉GM corn set to stop man spreading his seed

But seriously,is it right to use fertilizers,planned parenthood drugs or pills,pharmaceuticals,Fluoride in water or Toothpaste,Pesticides,Vaccines,Plastics,Paints,Roofing Material,Tiles,Tarmac,Gasoline,Diesel,Lead in Gasoline,On the Shelf Foods,Beverages the types of Coca Cola and Pepsi etc.,Tobacco,
Industrial Juices,
Chlorine in water etc.etc.without knowing their short and long effects on our health?

Let me say this without mincing words,it is stupid and lunatic to use anything without knowing its health hazards,and because of this lunacy we have sadly destroyed generations of our people.For how long we will follow this extremely dangerous path remains to be seen,but there is need for change, not later,but now.
 
2025 CCM watampitisha akagombee tena Watanzania ni wajinga sana huyu nae ni Mbunge.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…