Joseph Selasini atimuliwa NCCR Mageuzi

Muda wa kutangaza ulikuwa bado sasa matokeo yameshatoka na walishindwa waña haki ya kwenda mahakamani co kwenu kwamba tume ikesha mtangaza rais ndio basi tena huna pa kwenda hao jamaa wametuacha nyuma sana kwa kila kitu.
Usisahau wametuacha nyuma pia kwa ukabila. Umeelewa sasa?
 
Wanasiasa bongo njaa kali sana

Ova
 
Msaliti siyo mwanachama au mwananchi anayetofautiana na uongozi halali bali mtu anayehujumu na hata kushiriki harakati za kubadili uongozi kwa njia haramu.
 
Msaliti siyo mwanachama au mwananchi anayetofautiana na uongozi halali bali mtu anayehujumu na hata kushiriki harakati za kubadili uongozi kwa njia haramu.
Asante Sana kiongozi kwa ufafanuzi mzuri na wenye kueleweka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…