Benjamini Netanyahu JF-Expert Member Joined Aug 7, 2014 Posts 95,871 Reaction score 116,627 Mar 14, 2025 #21 SAGAI GALGANO said: Hapo ameshaahidiwa majimbo kadhaa na Samia kama Mbatia alivyoahidiwa majimbo 20 na Dikteta Magufuli 2020 halafu akaambulia patupu CCM washenzi sana. Click to expand... Sure
SAGAI GALGANO said: Hapo ameshaahidiwa majimbo kadhaa na Samia kama Mbatia alivyoahidiwa majimbo 20 na Dikteta Magufuli 2020 halafu akaambulia patupu CCM washenzi sana. Click to expand... Sure
Bams JF-Expert Member Joined Oct 19, 2010 Posts 19,362 Reaction score 48,879 Mar 14, 2025 #22 Carlos The Jackal said: Wao wasisuiee tu. CHADEMA na ACT yatosha. Vyama hivo, hata viungane, viingie uchaguzin, hamna wa kwenda mkutanoni. Click to expand... Hawa wanasubiria kurrushiwa tonge na CCM ni wa kuwapuuza kama tunavyowapuuza vichaa tumavyowaona majalalani. Wasivyo na akili, wanadhani kwa kufanya hivyo CCM itawagawia majimbo machache ya bure, kumve ndiyo wanajizika moja kwa moja!!
Carlos The Jackal said: Wao wasisuiee tu. CHADEMA na ACT yatosha. Vyama hivo, hata viungane, viingie uchaguzin, hamna wa kwenda mkutanoni. Click to expand... Hawa wanasubiria kurrushiwa tonge na CCM ni wa kuwapuuza kama tunavyowapuuza vichaa tumavyowaona majalalani. Wasivyo na akili, wanadhani kwa kufanya hivyo CCM itawagawia majimbo machache ya bure, kumve ndiyo wanajizika moja kwa moja!!
S Sirlama Senior Member Joined Oct 6, 2024 Posts 176 Reaction score 352 Mar 14, 2025 #23 si kila chama pizani ni upizani wengine wapo hapo kama state agencies na ndio maana wengine wanan'gan'gania kuwa wenyeviti wa vyama sababu wanajua nini wanafanya.
si kila chama pizani ni upizani wengine wapo hapo kama state agencies na ndio maana wengine wanan'gan'gania kuwa wenyeviti wa vyama sababu wanajua nini wanafanya.