Joseph Vissiavionovich Stalin was a Georgian revolutionary and Soviet political leader who governed from 1924 until his death in 1953

Joseph Vissiavionovich Stalin was a Georgian revolutionary and Soviet political leader who governed from 1924 until his death in 1953

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011








1636458991899.png
Joseph Vissarionovich Stalin was a Georgian revolutionary and Soviet political leader who governed the Soviet Union from 1924 until his death in 1953. He served as both General Secretary of the Communist Party of the Soviet Union and Chairman of the Council of Ministers of the Soviet Union

1636509218252.jpeg
 
29 years on duty. Hilo jina la kati sasa
 
Ni dicketa aliyebahatika kuwa na absolute power and authority.
Lakini yeye ndio aliyeojenga USSR na kulifanya kua ni moja kati ya mataifa mawili Super Power duniani

Michael Gorbachev alisifika(hasa na nchi za magharibi) kua mwana demokrasia msifika, lakini the then powerful USSR ilivunjikia mikononi kwake

Anyways, wote wana upande hasi na chanya. Na sisi kama bara lililonyuma kwa kila kitu tuna mengi ya kujifunza kama kweli hua tunazingatia masomo kutokana na historia ya dunia
 
Lakini yeye ndio aliyeojenga USSR na kulifanya kua ni moja kati ya mataifa mawili Super Power duniani

Michael Gorbachev alisifika(hasa na nchi za magharibi) kua mwana demokrasia msifika, lakini the then powerful USSR ilivunjikia mikononi kwake

Anyways, wote wana upande hasi na chanya. Na sisi kama bara lililonyuma kwa kila kitu tuna mengi ya kujifunza kama kweli hua tunazingatia masomo kutokana na historia ya dunia
Huyu mwamba aliitoa Urusi kutoka nchi ya kikabaila na masikini zaidi Ulaya, hadi kuwa taifa la kinyuklia ndani ya miaka 29 tu. Ukweli usiopingika ni kwamba bila Joseph Stalin Ujerumani ya wanazi ingeitawala Ulaya yote kabla hata ya Marekani kufika barani Ulaya. Pia bila Joseph Stalin sidhani kama Mao Zedong, Hochi Minh na Kim Il Sungu wangekuwa hata maraisi wa nchi zao.

Huyu ni moja kati ya watu mashuhuri ambao waliweza kubadilisha mwelekezo mzima wa karne ya ishirini na kufanya dunia iwe hivi leo. Sasa alikuwa ni shujaa au adui hilo ni swali ambalo linahitaji utulivu sana ili kuweza kulijibu,....
 
Wakati Lenini anakufa alisema jamaa asipewe Nchi... alimjua vizuri..
 
Huyu mwamba aliitoa Urusi kutoka nchi ya kikabaila na masikini zaidi Ulaya, hadi kuwa taifa la kinyuklia ndani ya miaka 29 tu. Ukweli usiopingika ni kwamba bila Joseph Stalin Ujerumani ya wanazi ingeitawala Ulaya yote kabla hata ya Marekani kufika barani Ulaya. Pia bila Joseph Stalin sidhani kama Mao Zedong, Hochi Minh na Kim Il Sungu wangekuwa hata maraisi wa nchi zao.

Huyu ni moja kati ya watu mashuhuri ambao waliweza kubadilisha mwelekezo mzima wa karne ya ishirini na kufanya dunia iwe hivi leo. Sasa alikuwa ni shujaa au adui hilo ni swali ambalo linahitaji utulivu sana ili kuweza kulijibu,....
Huyu ndiye engineer wa Cold War, aliivusha Urusi vizuri kwenye WWII lakini aliendeleza mbinu za kijeshi kuelekea kwa Western Europe and USA.
 
Lakini yeye ndio aliyeojenga USSR na kulifanya kua ni moja kati ya mataifa mawili Super Power duniani

Michael Gorbachev alisifika(hasa na nchi za magharibi) kua mwana demokrasia msifika, lakini the then powerful USSR ilivunjikia mikononi kwake

Anyways, wote wana upande hasi na chanya. Na sisi kama bara lililonyuma kwa kila kitu tuna mengi ya kujifunza kama kweli hua tunazingatia masomo kutokana na historia ya dunia
Mafanikio ya Stalin yalionekana zaidi nje ya Soviet Union, ilifanikisha Sputnik 1 na kuifanya Soviet iogopewe kwa nguvu za kivita.

Sera za Stalin za Ujamaa, kuanzia mid 20’s to 30’s alinyang’anya wakulima wakubwa sehemu kubwa ya ardhi yao na kuingiza sera za kilimo cha ujamaa. Watu wengi walikufa kwa njaa kwani uzalishaji wa wakulima wakubwa haukuwa sawa na uzalishaji wa mashamba ya ujamaa. Census ya 1937 ilibaini kuwa taifa lilikuwa na upungufu wa 13% ya watu kulinganisha na census iliyopita.

Mikakati mingi ya Stalin iliendeshwa kwa siri pamoja na usalama wa taifa, baada ya kifo chake projects zake nyingi zilishndwa kuendelezwa.

Ninamuona Goberchev kama shujaa katika kupeleka demokrasia Urusi. Aliruhusu uhuru wa vyombo vya habari, vyama vingi vya siasa. Matokeo ya kuanguka kwa Soviet Union ni uwazi ukiofanya vijana kuacha kuchagua sera za ujamaa kama wakivyofanya wazazi wao.

Urusi ya Soviet ilikuwa ni ya kupanga foleni za chakula na nguo walivaa zilizopo si kwenda na fashion.
 
Huyu mwamba mm namkubali sana maana bila huyu Vita ya pili ya dunia ingechukua mda sana kuisha ila aliwatuliza wa nazi pale kwenye mji wa jina lake stalinglad akawachapa ipasavo.Bila huyu hitler angetamba sana maana mwamba aliwaambia askari wake ww ukikimbia vita unatwanga risasi wa russia wakawa mbogo waliwatandika wajerumani mpaka wakasanda

Sent from my SM-M305F using JamiiForums mobile app
 
Huyu mwamba mm namkubali sana maana bila huyu Vita ya pili ya dunia ingechukua mda sana kuisha ila aliwatuliza wa nazi pale kwenye mji wa jina lake stalinglad akawachapa ipasavo.Bila huyu hitler angetamba sana maana mwamba aliwaambia askari wake ww ukikimbia vita unatwanga risasi wa russia wakawa mbogo waliwatandika wajerumani mpaka wakasanda

Sent from my SM-M305F using JamiiForums mobile app
Agenda kubwa katika uongozi wake zilikuwa mbili, 1. Nguvu za kijeshi na 2. Uchumi.

Hela nyingi zilitumika kuimarisha nguvu za kijeshi kuliko welfare ya wananchi. Mahitaji ya muhimu pia yalionekana ni anasa kwa wananchi wa kawaida.

MacDonalds ya kwanza Urusi ilifunguliwa wakati wa Gobarchev.
 
Agenda kubwa katika uongozi wake zilikuwa mbili, 1. Nguvu za kijeshi na 2. Uchumi.

Hela nyingi zilitumika kuimarisha nguvu za kijeshi kuliko welfare ya wananchi. Mahitaji ya muhimu pia yalionekana ni anasa kwa wananchi wa kawaida.

MacDonalds ya kwanza Urusi ilifunguliwa wakati wa Gobarchev.
Lakini ndo ameifanya Russia kua super power maana jamaa alikua na maamuzi magumu sana huyu.Pia ni mtu aliye ipenda sana nchi yake ndo maana hakuruhusu wajinga walete upuuuzi wowote pale russia mpaka dini alizpiga marufuku

Sent from my SM-M305F using JamiiForums mobile app
 
Lakini ndo ameifanya Russia kua super power maana jamaa alikua na maamuzi magumu sana huyu.Pia ni mtu aliye ipenda sana nchi yake ndo maana hakuruhusu wajinga walete upuuuzi wowote pale russia mpaka dini alizpiga marufuku

Sent from my SM-M305F using JamiiForums mobile app
In another way I look at him as a man who built an expensive mansion but inside the house his children are starving and his wife is not happy.
 
Back
Top Bottom