Joseph Vissiavionovich Stalin was a Georgian revolutionary and Soviet political leader who governed from 1924 until his death in 1953

Joseph Vissiavionovich Stalin was a Georgian revolutionary and Soviet political leader who governed from 1924 until his death in 1953

In another way I look at him as a man who built an expensive mansion but inside the house his children are starving and his wife is not happy.
Watu kama Mao wa china alia fanya makubwa mpaka leo china unaiona pale ni nguvu yao japo wali starve wakawa wanakula kila kitu lakini sasa china iko pale hata Soviet union isngekua huyu mwamba kua na maamuzi magumu russia ingekua ni nchi masikini tu Sometime wana nchi wakipitia hali ngumu is for their future

Sent from my SM-M305F using JamiiForums mobile app
 
Mm nashangaaga Sana watu wanavomsifia Putin kiongoz katili na mahir na shujaa alikuwa Joseph Stalin Stalin alimpoteza dictator hilter kimasihara na ndo ikawa mwisho wa naz na Benito akapotezwa huyu kabla hajashika hatamu Lenin alionya
 
Lakini yeye ndio aliyeojenga USSR na kulifanya kua ni moja kati ya mataifa mawili Super Power duniani

Michael Gorbachev alisifika(hasa na nchi za magharibi) kua mwana demokrasia msifika, lakini the then powerful USSR ilivunjikia mikononi kwake

Anyways, wote wana upande hasi na chanya. Na sisi kama bara lililonyuma kwa kila kitu tuna mengi ya kujifunza kama kweli hua tunazingatia masomo kutokana na historia ya dunia
Wakati wa Gorbachev, Umoja wa Kisovyeti ilikuwa kama Zombi (mati inayotembea). Waliwahi kukazia nguvu katika mambo ya kijeshi. Lakini kutokana roho yao ya udikteta, mapinduzi ya mkompyuta yaliwahi kupita kwao. Maana chama kilitaka kusimamia kila dhana, hivyo hata mashine za fotokopi zilikuwa chache (hatari ya kusambaza kwa mawazo yasiyo ya serikali)... Hivyo uzalishaji wa viwanda vyao ulikuwa duni. Basi yote iliporomoka haraka.
 
cDonalds ya kwanza Urusi ilifunguliwa wakati wa Gobarchev.
[/QUOTE]

Kwako hayo ndiyo mafanikio halisi ya Kiuchumi au sijakuelewa?!
What's the relevance of this?!
 
StaloS was a great leader who saved the world from falling in the hands of Hitler

He successful made Russia the most Powerful nation both militarily and economically
 
StaloS was a great leader who saved the world from falling in the hands of Hitler

He successful made Russia the most Powerful nation both militarily and economically
Hayo unaamini? Alikuwa dikteta aliyeua milioni ya wananchi wake. Urusi haukuwa na nguvu kushinda nchi nyingine. Ilikuwa na nguvu kubwa ya kijeshi kwa sababu aliwekeza kila kitu kwenye tasnia ya kijeshi, ilhali wananchi walikuwa maskini.

Mwanzo wa Vita Kuu ya Pili, jeshi lake lilipotea askari milioni kadhaa kwa sababu Stalin aliwahi kuua sehemu kubwa ya majenerali kabla ya vita. Wajerumani waliweza kufika kirahisi hadi kilomita chache mbele ya Moscow. Kama wasingekuwa wabaguzi wabaya walioona eti Mrusi ni nusu-binadamu tu, wengi sana wangewaunga mkono; pia mwenzake Stalin yaani yule Hitler alivuruga mipango ya kijeshi.
Kuwa na dikteta ambaye havumilii upinzani wowote na mawazo tofauti ni hakika ya kuanguka. Stalin alianguka sana kwenye mwanzo wa vita, hadi alikubali kusikia wengine. Hitler alianguka zaidi, kwa sababu hadi mwisho hakuwa tayari kusikiliza wengine.

Uchumi wa Stalin ulibaki nyuma ya nchi nyingine zilizoendelea. Magari yao yalikuwa kichekesho, baada ya mwisho wa ukomunisti viwanda viliporomoka haraka kwa sababu wananchi hawakutaka kununua tena bidhaa za Urusi, walipendelea kulipa bei za juu kwa bidhaa kutoka nje.

Miaka michache baada ya kifo cha Stalin, mfumo wake ulifikisha watu kwenye anga-nje, lakini kwa vifo kadhaa vilivyofichwa. Walishindwa kupeleka watu Mwezini, maana tekinolojia yao haikutosha.
 
Hayo unaamini? Alikuwa dikteta aliyeua milioni ya wananchi wake. Urusi haukuwa na nguvu kushinda nchi nyingine. Ilikuwa na nguvu kubwa ya kijeshi kwa sababu aliwekeza kila kitu kwenye tasnia ya kijeshi, ilhali wananchi walikuwa maskini.

Mkuu:
Sasa unakataa kipi na unakubali kipi?

Suala la kuua watu wengi kama ni Kweli:-

Halizuii nchi kuwa na nguvu kubwa Kiuchumi na Kijeshi

Inategemea chanzo cha taarifa za kuwepo kwa mauaji hayo makubwa zimetolewa na Watu au nchi gani! Kwa kesi yetu hii watoa taarifa ni Wamarekani na Washiriki wake waliopigwa kwa aibu na Hitler

Nimeona unadai Urusi haikuwa na nguvu kubwa kushinda nchi nyingine!!! Umekosea pakubwa kwani rusi ilikuwa na nguvu kubwa sana kuliko nchi zote za ulaya zilizoitegemea Marekani kuanzia wakati ule hadi leo hii
 
Hayo unaamini? Alikuwa dikteta aliyeua milioni ya wananchi wake. Urusi haukuwa na nguvu kushinda nchi nyingine. Ilikuwa na nguvu kubwa ya kijeshi kwa sababu aliwekeza kila kitu kwenye tasnia ya kijeshi, ilhali wananchi walikuwa maskini.

Mkuu:
Sasa unakataa kipi na unakubali kipi?

Suala la kuua watu wengi kama ni Kweli:-

Halizuii nchi kuwa na nguvu kubwa Kiuchumi na Kijeshi

Inategemea chanzo cha taarifa za kuwepo kwa mauaji hayo makubwa zimetolewa na Watu au nchi gani! Kwa kesi yetu hii watoa taarifa ni Wamarekani na Washiriki wake waliopigwa kwa aibu na Hitler

Nimeona unadai Urusi haikuwa na nguvu kubwa kushinda nchi nyingine!!! Umekosea pakubwa kwani rusi ilikuwa na nguvu kubwa sana kuliko nchi zote za ulaya zilizoitegemea Marekani kuanzia wakati ule hadi leo hii
Mpendwa, je inawezakana hujui unachojadili? Basi usipopenda ushuhuda kutoka mabepari, ona hapo chini Warusi wenyewe wanasemaje. Umesikia jina la Solzhenitsin? Anarejelewa chini. Maneno ambayo nimeweka kwa bold letters yanasema watu milioni 60, yaani watu waliouawa kwa amri za Stalin.

Вопрос оценки количества жертв коммунистического террора — один из самых болезненных и актуальных в новейшей русской истории. С конца 1950-х годов разными авторами, исходившими из разных методик подсчета, назывались разные цифры погибших. В массовом сознании закрепилась цифра, приведенная Александром Солженицыным в «Архипелаге ГУЛаг» — 60 миллионов человек (1918–1956). После открытия части архивных данных в начале 1990-х годов стало возможно объективное изучение масштабов репрессий. Работа историков Никиты Охотина и Арсения Рогинского «О масштабе политических репрессий в СССР при Сталине: 1921–1953» — одно из самых авторитетных исследований этой темы.

Kama hujui Kirusi, tumia google translate. Chanzo ni Сколько людей убил сталинский режим? | Открытый Университет
 
Ila hali halisi makadirio wa Solzhenitsyn yalikuwa juu mno; leo hii watafiti wengi Warusi wanasema labda ni milioni 10-15 tu . . . . (wale waliokamatwa na kuuawa moja kwa moja, oamoja na wale ambao walikufa njaa kwa sababu Stalin alitaka kumaliza tabaka ya wakulima waliweza kujitegemea eneo la Ukraina, alipoua kwa kuagiza njaa katika mikoa ie...)
 
Back
Top Bottom