Josephat Gwajima akana utajiri wake

Gwajima hajui kama imeigusa ngome ya Vatican, yenye mafia wakutosha dunia nzima, hapo wamemsamee tu, wangeweza kumpoteza kimyakimya. JK mwenyewe anajua hilo wala asimsingizie Rais wetu. Aombe msamaa kwa Muadhama Kadinali Polycap Pengo yaishe, aendelee kuchuna misukule yake aliyo ipumbaza na kujikuta inamuona kama mungu.
 
wewe ni Mkristo wa kubumba toka lini serikali itake kanisa kuonyesha waumini wake,mapato yake nk hili ni shabulio kwa UKRISTO ili tu kuudhofisha au kuuweka MFUKONI.
Mkuu mimi kama mkristo nachukia sana wizi, uongo na ulagghai, kama wa self made "askofu" Gwajima.
Sasa ninyi mnaoamini kuwa mko 70,000 ilhali mnajiona kwa macho kuwa hamzidi 5000, basi ni lazima mmepandikizwa mapepo.
 
Kwani Gwajima akibaki na waumini wake na nyiye mkibaki na dini yenu kuna ubaya gani....???
 

Yeremia 23:1 "watu wangu wamekuwa kondoo waliopotea,wachungaji wao wamewapotosa"

SO,SISHANGAI WATU WAKE KUENDELEA KUMSHANGILIA NA KUMCHANGIA,ashawateka,ashawachanganya,wanahitaji msaada.
 
Ahaaaaaa Naona kumekucha kwa Gwajima. Lakini pia Gwajima ni mchuuzi wa maji ya chumvi kulee mabondeni, asije akasahau. Na ana Green House ameajili Vijana kutoka Kenya hawana vibali vya kufanya kazi hapa. Sasa kama ana utajili wa kutosha mbona anachuuza maji????SADAKA HAITOSHI?
 
wewe ni Mkristo wa kubumba toka lini serikali itake kanisa kuonyesha waumini wake,mapato yake nk hili ni shabulio kwa UKRISTO ili tu kuudhofisha au kuuweka MFUKONI.
Makanisa yote yenye heshima nchini na duniani hayana kitu cha kuficha.

Ya Kaisari mpe Kaisari.

Huwezi kuwekwa mfukoni kwa kuwa MKWELI.
Onyesha origin ya mapato yako ili uwe huru.
 
sawa hata unamjua huwezi kumwita mtumishi wa Mungu ni mvuta bangi.
Nani kakwambia JG ni Mtumishi wa MUNGU
kachaguliwa na nani?
kasimikwa na nani?
kajifunzia Chuo gani? au ndio UTUME, UPAKO?
anazaa na wanawake wa watu OVYOOOOO
unamjua Emma Mbasha, umeyasoma malalamiko yake, mtu anauza sembe ni mtumishi wako si mtumishi wangu au wa Baniani au wapagani? km ni kwako sawa endelea usiwalazimishe wenzako


Hawa waliopo chini ndio Watumishi wa MUNGU
na imenenwa TIINI MAMLAKA

 
Hivi Kova mlikuwa wapi muda wote huo? Gwajima huduma yake ni ya muda mrefu sasa zaidi ya miaka 10.Kosa kubwa ni kuipiga KATIBA PENDEKEZWA.Fikiri Gwajima kwa maneno yake hayo angeungana na Mhashamu PENGO kwa kuwashauri wa Tz waipigie katiba hiyo NDIYO.Yasigempata hayo.Mbona kuna Manabii na Wachungaji wengi wanaendelea kula bata tena wanaukwasi mkubwa kuliko hao.Kama HAMMER na Helikopta mbona hata wanasiasa wengine wanazo.Ukweli nchi hii bado hatujawa huru.
 
Inakuwaje mambo ya polisi yanakuja kuhubiriwa kanisani hivi huwa ni sehemu ya ibada, kwa nini injili isihubiriwe kama injili bila kuleta mambo ya polisi.

utaratibu wa ibaada huwa ukoje huko?

Huo ni utaratibu wa Gwajima tu!!! sio makanisa yote
 
Lumumba mpo biz kuanzisha thread za Gwajima kupotezea mnavotoa sadaka watu kwenye ajali!
Na leo tena mmefanya! Baada ya kustukiwa kwenye albino sasa mmehamia barabarani!
Kwani damu haijatosha tu?

Ndio haijatosha!! tutafika hadi hapa jukwaani kuwatakatisha watu kama ninyi.
 
Rais wetu kikwete maliza hilo sakata katika waumini wa Gwajima wapo makada wa ccm mule na wapiga kura wako wengi tuu wape furaha wanaoitegemea kwa sasa macho yote kwako mh.

Hawataki washabiki wa gwajima wabaki hukohuko!!!!
 

I reserve my comments!
 

Shirikisha AKILI wakati unajadili na watu wazima, GT. Pengo hakuwaambia waumini wakaipigie kura ya NDIYO. Pengo kawaambia wakaisome katiba waielewe na Kila mmoja kwa uelewa wake na utashi wake akaipigie kura. suala la kura ni la muumini mmoja mmoja jinsi atakavyo.
Gwajima alichemka.
 
Akili zipi? Utajili wa huduma ya Gwajima una uhusiano gani na katiba pendekezwa? jibu swali usiingie kichwa kichwa.
 
Akili zipi? Utajili wa huduma ya Gwajima una uhusiano gani na katiba pendekezwa? jibu swali usiingie kichwa kichwa.

Hoja hapo ni utajiri na siyo katiba, wamemchunguza utajiri haulingani na mapato yanayoonekana ndiyo maana wanataka documents. suala la katiba kila mtu anazungumza hata sheikh mkuu wa DSM aliisha zungumza mara nyingi.
 

JK naye ni mtumishi wa Mungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…