Hongera kwa kuleta kiumbe duniani, hivi huyu ni mtoto wa ngapi wa Dr. Slaa? naskia ana mabinti wakubwa tu. Ningependa niwe wa kwanza kupendekeza jina amuite Rizitwo
Mnao mpongeza Dr Slaa KWA KUZAA HARAMU ni WANAFIKI wakubwa.Yule jamaa mwenye mke wake halali akisikia hii habari roho itamuuma sana! Mungu ampe nguvu awe na moyo wa uvumilivu na mungu atamlipia hapa hapa duniani!
Mchumba wa dr slaa amejifungua jana usiku pale hospital ya muhimbili saa tano usiku. MTOTO WA KIUME.
Hongera josephine, hongera slaa mtoto sio mchezo.
]Mnao mpongeza Dr Slaa KWA KUZAA HARAMU ni WANAFIKI wakubwa.
Kama mna mioyo ndani yenu nipeni mimi wake zenu niwazalishe.
Kwa kitendo hiki Dr Slaa hatasamehewa daima na huyo mume wa Josephine, na hata Yule aliye Juu hatamsamehe.
Hata hivyo itakuwa rahisi kusamehewa mna mume wa Josephine kuliko na Muumba wake.
Mchumba wa dr slaa amejifungua jana usiku pale hospital ya muhimbili saa tano usiku. MTOTO WA KIUME.
Hongera josephine, hongera slaa mtoto sio mchezo.
Kwani marais waliyoitawala na anaendelea kuitawala nchi hii hakuna ambaye alishawahi kutemea na mke wa mtu?wewe binafsi ujawahi kutoka nje ya ndoa yako?aliyekutoa usichana ndiye huyo unaeishi naye?jiulize kwanza kabla ya kusema neno lolote linalofika kinywani mwako!!Kwa hayo huyo ndie awe Rais wa Watanzania, wengi wao hawapendi kuvunja amri za Mungu. Inashangaza sana.
Mchumba wa dr slaa amejifungua jana usiku pale hospital ya muhimbili saa tano usiku. MTOTO WA KIUME.
Hongera josephine, hongera slaa mtoto sio mchezo.
Mnao mpongeza Dr Slaa KWA KUZAA HARAMU ni WANAFIKI wakubwa.
Kama mna mioyo ndani yenu nipeni mimi wake zenu niwazalishe.
Kwa kitendo hiki Dr Slaa hatasamehewa daima na huyo mume wa Josephine, na hata Yule aliye Juu hatamsamehe.
Hata hivyo itakuwa rahisi kusamehewa mna mume wa Josephine kuliko na Muumba wake.
Tukiwaheshimu watu na hasa mtoto aliyezaliwa itapendeza zaidi.
Mkuu, vipi wewe ikitokea kwa mfano John Komba, kampa mimba mke wako wewe utajiskiaje?asante WOS......nimesoma comment ya Rejao mpaka mwili ukaniccmka, jamani jaribuni kupunguza masihara, sio kila thread mchanganye na upuuzi ili mradi mme comment na pia nadhani wengi wenu hamjui utamu/raha ya kuleta kiumbe kipya duniani tena salama kabisa, ni jambo la kumshukuru Mungu sana sana, hayo mengine cjui ya mjukuu na nn nyie hayawahusu coz hakuna anaezuiwa kupata mtoto hata akiwa na miaka 100..mkue kidogo jamani....hongera sana Josephine....
Acha unafiki wewe,hatasamehewa kwani wewe ni Mungu? Acha umbea wewe au na wewe unataka chako...?Mnao mpongeza Dr Slaa KWA KUZAA HARAMU ni WANAFIKI wakubwa.Kama mna mioyo ndani yenu nipeni mimi wake zenu niwazalishe.Kwa kitendo hiki Dr Slaa hatasamehewa daima na huyo mume wa Josephine, na hata Yule aliye Juu hatamsamehe.Hata hivyo itakuwa rahisi kusamehewa mna mume wa Josephine kuliko na Muumba wake.
Mchumba wa dr slaa amejifungua jana usiku pale hospital ya muhimbili saa tano usiku. MTOTO WA KIUME.
Hongera josephine, hongera slaa mtoto sio mchezo.