Hahahahaha jamani wanaume wa JF mna maswali magumu kwelikweli??Binadamu Wa kwanza alikuwa Nyani au ni yule wa biblia?
Ukijiuliza na hilo...utafuta huu Uzi wako
CorrectSwali lako halina Msingi... Kwani unadhani ukilisimamisha jua lazima ulishike? Inaweza kua alitamka tu kua jua lisimame (lisi elekee kuzama) mfano:- kama ilikua ni saa 10 jioni na anahisi jua litazama kabla ya kupata ushindi na vita bado inaendelea..
watanzania wangekuwa na uwezo huo, wangeshasimamisha moyo wa mtu fulani hivi kudunda mda mrefu sana. hahahahah, sema hawana uwezo huo, bali Mungu tu.Katika maandiko matakatifu tunasoma kwamba Joshua alilisimamisha jua, sawa, utata unakuja ninaposoma ktk vitabu vya sayansi kuwa dunia hulizunguka jua sasa najiuliza sipati majibu kuwa wakati Joshua analisimamisha jua yeye Joshua alikuwa wapi? Kwenye jua au kwenye dunia?
Mwenye uelewa mpana ktk hili anisaidie.
Mkuu... Joshua atalisimamishaje jua wakati jua wakati Dunia ndio inalizunguka Jua? Jua liko pale pale kwa mujibu wa sayansi... Badala yake Dunia ndio inalizunguka jua... Labda wewe upindue maandiko uniambie kuwa Joshua aliisimamisha Dunia...Swali lako halina Msingi... Kwani unadhani ukilisimamisha jua lazima ulishike? Inaweza kua alitamka tu kua jua lisimame (lisi elekee kuzama) mfano:- kama ilikua ni saa 10 jioni na anahisi jua litazama kabla ya kupata ushindi na vita bado inaendelea..
Kweli hasa waliokulia madrasaWajinga ni vigumu kuelewa
Wanasayansi wapuuzi kweliNdio maana February in siku 28 mwaka mfupi na 29 mwaka mrefu baada ya Joshua kusimamisha Jua kwa siku moja.Haaaa wanasayansi watanibishia ila huo ndio ukweli
nimekuelewa....naweza sema sema alisimamisha masaa yasiende kabla ushindi haujapatikanaSwali lako halina Msingi... Kwani unadhani ukilisimamisha jua lazima ulishike? Inaweza kua alitamka tu kua jua lisimame (lisi elekee kuzama) mfano:- kama ilikua ni saa 10 jioni na anahisi jua litazama kabla ya kupata ushindi na vita bado inaendelea..
Upo vizurii brother.hekoNdio maana February in siku 28 mwaka mfupi na 29 mwaka mrefu baada ya Joshua kusimamisha Jua kwa siku moja.Haaaa wanasayansi watanibishia ila huo ndio ukweli