Sputam
JF-Expert Member
- Jan 22, 2013
- 600
- 390
Katika maandiko matakatifu tunasoma kwamba Joshua alilisimamisha jua, sawa, utata unakuja ninaposoma ktk vitabu vya sayansi kuwa dunia hulizunguka jua sasa najiuliza sipati majibu kuwa wakati Joshua analisimamisha jua yeye Joshua alikuwa wapi? Kwenye jua au kwenye dunia? Jua liko pale pale halizunguki kwenda kokote labda Joshua aliisimamisha Dunia wala sio jua.
Mwenye uelewa mpana ktk hili anisaidie.
Mwenye uelewa mpana ktk hili anisaidie.