Joshua alilisimamisha Jua

Joshua alilisimamisha Jua

Katika maandiko matakatifu tunasoma kwamba Joshua alilisimamisha jua, sawa, utata unakuja ninaposoma ktk vitabu vya sayansi kuwa dunia hulizunguka jua sasa najiuliza sipati majibu kuwa wakati Joshua analisimamisha jua yeye Joshua alikuwa wapi? Kwenye jua au kwenye dunia? Jua liko pale pale halizunguki kwenda kokote labda Joshua aliisimamisha Dunia wala sio jua.
Mwenye uelewa mpana ktk hili anisaidie.


weka huo mstari wa biblia tukuelewe zaidi
 
Hahahaa nimekuelewa, kwa hiyo kwenye uongo wakaamua kucheza na beat.
 
ungeanza kujiuliza kwa nini hadi kipindi hiki cha kisayansi kuna maneno SUNST na SUNRISE.

unatumia uwezo wa awali tu, kuwa alimaanisha kinachomaanishwa na wanasayansi sasa kwa lugha ya awali ambayo inaeleweka haraka
Science inajichanganya mno. Sunset&Sunset bado wanasema jua halitembei sasa litazamaje!???
Ninachojua Kusema Joshua alisimamisha jua ni kweli wala biblia haijakosea maana ikiwa ilikuwa saa nane basi jua lilibakia pale pale saa nane bila kuzama, ikiwa jua lingetembea means masaa nayo yangesonga mbele.
 
Science inajichanganya mno. Sunset&Sunset bado wanasema jua halitembei sasa litazamaje!???
Ninachojua Kusema Joshua alisimamisha jua ni kweli wala biblia haijakosea maana ikiwa ilikuwa saa nane basi jua lilibakia pale pale saa nane bila kuzama, ikiwa jua lingetembea means masaa nayo yangesonga mbele.
Hiyo inamaana pia kuwa dunia ilisimama kujizungusha katika muhimili wake...na jua likaonekana angani kama halisogei kuelekea kuzama.
 
Biblia inatumia imani kuwaelekeza watu jambo fulani,lakn science inatumia observation and experimentation,kwa hyo kinachooandkwa kwenye Biblia Mara nyingi hakina uhusiano na kile kilichopo kwenye science!
But Suala la dunia Kulizunguka Jua ni True na Si Fiction!
 
Mambo mengine ukijiuliza sana unaweza weuka na kukosa majibu
 
Katika maandiko matakatifu tunasoma kwamba Joshua alilisimamisha jua, sawa, utata unakuja ninaposoma ktk vitabu vya sayansi kuwa dunia hulizunguka jua sasa najiuliza sipati majibu kuwa wakati Joshua analisimamisha jua yeye Joshua alikuwa wapi? Kwenye jua au kwenye dunia? Jua liko pale pale halizunguki kwenda kokote labda Joshua aliisimamisha Dunia wala sio jua.
Mwenye uelewa mpana ktk hili anisaidie.
Story tu hizi,
 
Ndio maana February in siku 28 mwaka mfupi na 29 mwaka mrefu baada ya Joshua kusimamisha Jua kwa siku moja.
ila ilitakiwa ule mwaka aliosimamisha jua ndio uwe na siku 28/29. Sio kila mwaka!!
 
Back
Top Bottom