Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katika maandiko matakatifu tunasoma kwamba Joshua alilisimamisha jua, sawa, utata unakuja ninaposoma ktk vitabu vya sayansi kuwa dunia hulizunguka jua sasa najiuliza sipati majibu kuwa wakati Joshua analisimamisha jua yeye Joshua alikuwa wapi? Kwenye jua au kwenye dunia? Jua liko pale pale halizunguki kwenda kokote labda Joshua aliisimamisha Dunia wala sio jua.
Mwenye uelewa mpana ktk hili anisaidie.
Jua halikuzama ,ndio jua kisamamishwa au?Nini kilisimama wakati huo,jua au dunia????rejea mada tafadhali
Aisee muda wote nilikuwa najua wewe ni kidume...Hahahahaha jamani wanaume wa JF mna maswali magumu kwelikweli??
Kidume ni hubby wangu mshana jr yupo vizuri kitandani mpaka basi ana bonge la runguAisee muda wote nilikuwa najua wewe ni kidume...
Sawa sawa mkuu nimekuelewa vyema kabisa mtoto wa kitanga [emoji4] [emoji4]Kidume ni hubby wangu mshana jr yupo vizuri kitandani mpaka basi ana bonge la rungu
Science inajichanganya mno. Sunset&Sunset bado wanasema jua halitembei sasa litazamaje!???ungeanza kujiuliza kwa nini hadi kipindi hiki cha kisayansi kuna maneno SUNST na SUNRISE.
unatumia uwezo wa awali tu, kuwa alimaanisha kinachomaanishwa na wanasayansi sasa kwa lugha ya awali ambayo inaeleweka haraka
Hiyo inamaana pia kuwa dunia ilisimama kujizungusha katika muhimili wake...na jua likaonekana angani kama halisogei kuelekea kuzama.Science inajichanganya mno. Sunset&Sunset bado wanasema jua halitembei sasa litazamaje!???
Ninachojua Kusema Joshua alisimamisha jua ni kweli wala biblia haijakosea maana ikiwa ilikuwa saa nane basi jua lilibakia pale pale saa nane bila kuzama, ikiwa jua lingetembea means masaa nayo yangesonga mbele.
But Suala la dunia Kulizunguka Jua ni True na Si Fiction!Biblia inatumia imani kuwaelekeza watu jambo fulani,lakn science inatumia observation and experimentation,kwa hyo kinachooandkwa kwenye Biblia Mara nyingi hakina uhusiano na kile kilichopo kwenye science!
Story tu hizi,Katika maandiko matakatifu tunasoma kwamba Joshua alilisimamisha jua, sawa, utata unakuja ninaposoma ktk vitabu vya sayansi kuwa dunia hulizunguka jua sasa najiuliza sipati majibu kuwa wakati Joshua analisimamisha jua yeye Joshua alikuwa wapi? Kwenye jua au kwenye dunia? Jua liko pale pale halizunguki kwenda kokote labda Joshua aliisimamisha Dunia wala sio jua.
Mwenye uelewa mpana ktk hili anisaidie.
Toka zako hapaSawa sawa mkuu nimekuelewa vyema kabisa mtoto wa kitanga [emoji4] [emoji4]
Cjakataa,soma vzr ujumbe wangu!But Suala la dunia Kulizunguka Jua ni True na Si Fiction!
Ndio maana February in siku 28 mwaka mfupi na 29 mwaka mrefu baada ya Joshua kusimamisha Jua kwa siku moja.
ila ilitakiwa ule mwaka aliosimamisha jua ndio uwe na siku 28/29. Sio kila mwaka!!
Nini shida tena mtt wa kitanga [emoji4] [emoji4]Toka zako hapa
Watz 20:18 Mjinga ni yule anayeogopa kuitwa mjinga kuliko ujinga wenyewe!The fool hath said in his heart, There's no GOD. Psalm 14:1a KJV
Unapenda kuwasingizia wanaume wa jf.Hahahahaha jamani wanaume wa JF mna maswali magumu kwelikweli??
tuanze na wewe, umepata wapi elimu inayopingana na vyote viwili?Wewe Ulipata wapi elimu yako?