Halafu Paap! wakabaki wanaangaliana.
Jiwe ndio likageuka kuwa game changer hatari, mpaka sasa mbuge wa kuchaguliwa na wananchi kutoka chadema inasoma namba moja tu.... Hahahaahaahahaaa! Lisu bado yupo uhamishoni babeli.Dogo angekuwa Chadema ubunge ungekuwa halali yake tena lakini akanunulika sasa anajuta kuliona game changer Lissu anavyowakimbiza mpaka hilo jiwe lao
Dogo amejiharibia sana. Heshima waliompa wameru ameipoteza kwa vijipesa kidogo tuNassari ni mmeru sio mmasai anawasemea wamasai yeye kama nani, kujua lugha sio ndo kuwa mhusika
Crap!!Jiwe ndio likageuka kuwa game changer hatari, mpaka sasa mbuge wa kuchaguliwa na wananchi kutoka chadema inasoma namba moja tu.... Hahahaahaahahaaa! Lisu bado yupo uhamishoni babeli.
Bitter truth!Crap!!
Na jiwe yupo wapi kwa sasa?Jiwe ndio likageuka kuwa game changer hatari, mpaka sasa mbuge wa kuchaguliwa na wananchi kutoka chadema inasoma namba moja tu.... Hahahaahaahahaaa! Lisu bado yupo uhamishoni babeli.
Yupo mahali ambao hata wewe panakuita, ni suala la muda tu utaitika.Na jiwe yupo wapi kwa sasa?
Acha kuabudu maiti dogo.Yupo mahali ambao hata wewe panakuita, ni suala la muda tu utaitika.
Ibada Tena?Acha kuabudu maiti dogo.
Yeye kabla ya kwenda hapo alipeleka hapo wangapi? na yule aliyenusurika kupelekwa hapo bado anadundaYupo mahali ambao hata wewe panakuita, ni suala la muda tu utaitika.