Joti na Katiba Mpya; Wasanii na uteuzi, kilio cha maslahi

Joti na Katiba Mpya; Wasanii na uteuzi, kilio cha maslahi

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Joti amebeza mchakato wa katiba mpya kwamba hauna tija; nimejiuliza msanii wa Tanzania anawezaje kuwatukana mashabiki zake Bila aibu? Kwamba Joti anajionaa anafaa kuwa DC? Anaona uchawa unalipa? Na kwamba hapo alipofiko ndo mwisho?

Mhe. Rais anataka watu wanaosema ukweli siyo wanafiki; wasanii jifunzeni kumaintain brand yenu. Leo angekuwa na makampuni wanaomdhamini wangevunja mkataba. Hakuna kampuni serious itafanya KAZI serious na thinking ndogo kama hizi.

Jifunze kukaa kimya

 
Joti amebeza mchakato wa katiba mpya kwamba hauna tija; nimejiuliza msanii wa Tanzania anawezaje kuwatukana mashabiki zake Bila aibu? Kwamba Joti anajionaa anafaa kuwa DC? Anaona uchawa unalipa? Na kwamba hapo alipofiko ndo mwisho?

Mhe. Rais anataka watu wanaosema ukweli siyo wanafiki; wasanii jifunzeni kumaintain brand yenu. Leo angekuwa na makampuni wanaomdhamini wangevunja mkataba. Hakuna kampuni serious itafanya KAZI serious na thinking ndogo kama hizi.

Jifunze kukaa kimya
Viandunje kama joti,stevenyerere,ndungai ni vya kupuuza tu
 
Mi naona hayo ni maoni yake mtazamo wake ulipoishia kama ambavyo sio wengi wanaelewa Wala kufuatilia maswala hayo.
Ndio maana CDM inazunguka kwenye mikutano pale wanatoa elimu kwa watu ambao hawako aware kama yeye.
Hatuwezi tukawa n mtazamo mmoja. Ni wapi hawatukana mashabiki zake? Kwani ni watu wote wanaomshabikia wanaona umuhimu wa Katiba mpya? Kampuni gani na wapi ilivunja mkataba kwa maoni wa mtu binafsi?
Hivi Joti na mikazi yote hiyo ya matangazo anayofanya bado anawaza ukuu wa wilaya? Sidhani ni maoni tu Kama mwananchi mwingine huru labda discussion ingekuwa sababu gani amezitoa za kuona katiba mpya si issue.
 
Alivyo pimbi hajui hata Mama mwenyewe anasapoti Katiba Mpya.
Anajaribu kuleta comedy katika vitu serious. Wasanii wengi wabongo hawajiekewi, muda mwingine hawana tofauti na wanyama wa kufugwa. Reasoning capacity ndogo.
1675310189885.jpg
 
Wewe unamuona mjinga
Joti amebeza mchakato wa katiba mpya kwamba hauna tija; nimejiuliza msanii wa Tanzania anawezaje kuwatukana mashabiki zake Bila aibu? Kwamba Joti anajionaa anafaa kuwa DC? Anaona uchawa unalipa? Na kwamba hapo alipofiko ndo mwisho?

Mhe. Rais anataka watu wanaosema ukweli siyo wanafiki; wasanii jifunzeni kumaintain brand yenu. Leo angekuwa na makampuni wanaomdhamini wangevunja mkataba. Hakuna kampuni serious itafanya KAZI serious na thinking ndogo kama hizi.

Jifunze kukaa kimya

View attachment 2504701
kwa kua haoni umuhimu wa katiba?
Huo ndio msimamo wake. Usijifanye kudai katiba mpya ndio akili. Kuna watu wanadai katiba mpya kwa jazba lakini kwa mtu muelewa utajua hawaelewi hata katiba ni nini. Unakuta mtu jambo la kutaka sheria fulani ianzishwe au kuwekwa mwongozo au taratibu analalamikia katiba.
 
Wewe unamuona mjinga
kwa kua haoni umuhimu wa katiba?
Huo ndio msimamo wake. Usijifanye kudai katiba mpya ndio akili. Kuna watu wanadai katiba mpya kwa jazba lakini kwa mtu muelewa utajua hawaelewi hata katiba ni nini. Unakuta mtu jambo la kutaka sheria fulani ianzishwe au kuwekwa mwongozo au taratibu analalamikia katiba.
Wewe kama siyo joti basi ni steve nyenyere
 
Joti amebeza mchakato wa katiba mpya kwamba hauna tija; nimejiuliza msanii wa Tanzania anawezaje kuwatukana mashabiki zake Bila aibu? Kwamba Joti anajionaa anafaa kuwa DC? Anaona uchawa unalipa? Na kwamba hapo alipofiko ndo mwisho?

Mhe. Rais anataka watu wanaosema ukweli siyo wanafiki; wasanii jifunzeni kumaintain brand yenu. Leo angekuwa na makampuni wanaomdhamini wangevunja mkataba. Hakuna kampuni serious itafanya KAZI serious na thinking ndogo kama hizi.

Jifunze kukaa kimya

View attachment 2504701
Uwezo wa akili yake unapoishia. Anafikiria kila mahali ni usanii.
 
Rais wa Ukraine alikuwa kama Joti
Usimdhaliloshe Rais wa Ukraine.

Wewe unafikiri wachekeshaji wa jamii kama ya US wanakuwa mbumbumbu kama hawa wa kwetu?. Wenzetu kila kitu ni taaluma. Mtu anaenda chuo kikuu kusomea usanii, siyo hawa wa kwetu qwanaojifunzia kwenye magulio. Ndiyo sababu wachekeshaji wa TZ wanakuwa kwaajili ya kundi fulani tu!!
 
Wasanii wa nchi nyingine wanaojielewa huwa ndio chanzo cha mabadiliko, ila wasanii wetu ni vilaza, viazi, maandazi.
Wengi wao ni rejects katika jamii.
 
Joti amebeza mchakato wa katiba mpya kwamba hauna tija; nimejiuliza msanii wa Tanzania anawezaje kuwatukana mashabiki zake Bila aibu? Kwamba Joti anajionaa anafaa kuwa DC? Anaona uchawa unalipa? Na kwamba hapo alipofiko ndo mwisho?

Mhe. Rais anataka watu wanaosema ukweli siyo wanafiki; wasanii jifunzeni kumaintain brand yenu. Leo angekuwa na makampuni wanaomdhamini wangevunja mkataba. Hakuna kampuni serious itafanya KAZI serious na thinking ndogo kama hizi.

Jifunze kukaa kimya

View attachment 2504701

Resilience !

Kila mtu anao Uhuru wa kutoa maoni yake,kulingana na anachokiamini,bila kuvunja au kukiuka kanuni na sheria za nchi hii.
Na kwa mujibu wa katiba ya nchi inavyotamka.

Kwa hiyo hupaswi kufanya "Personal Attacks "
Kisa tu!
#Joti ametoa maoni tofauti na unavyoamini na kutaka iwe!

Hupaswi kuwalazimisha watu wote kuamini kile unachokiamini na kukifikiri kichwani mwako wewe!
Kwa sababu sio kila mtu anapitia yale unayopitia wewe!

Kwa mfano....
Wakati wewe ukiendelea kuumia na benchi la siasa,na hivyo kudhani katiba mpya yaweza kuleta upenyo mpya wa kukutoa benchi ulipo.

Yeye Joti.....

Anaendelea kupambana na kukitumia kipaji chake,na kunufaika na mikataba ya makampuni tofauti,ambayo yanamtumia kwenye Brand zao kibiashara.
Tena makampuni hayo,yakiwa yanafanya biashara,na kupata faida nchini,chini ya "katiba" hiyo hiyo ambayo kwako wewe,unaamini imechangia kukuweka hapo ulipo.

Sasa mtu kama huyo,huwezi mlazimisha akuunge mkono kwenye siasa!
Wakati yeye mambo yake yanasonga mbele,tena kwa faida zaidi.
Nyiny...i Resilience na Joti mko nchi moja ndiyo,lakini mko Pande mbili tofauti za sarafu.

Binafsi Ninajua kabisa,kuna umuhimu wa katiba mpya nchini.ili kuwepo na wigo sawa wa upatikanaji wa tija katika nyanja mbalimbali.

Lakini wanasiasa msiwalazimishe wale ambao,wanayo maoni tofauti na nyinyi kwa wakati husika.

Mleta mada unafanya mambo kwa chuki,huenda unasukumwa na msongo wa yanayokukumba kwa wakati huu.

Hivyo nakushauri kuacha mihemko,huku kwenye Social Platforms,hakuna kundi moja au mtu yeyote mwenye hakimiliki ya mawazo na Imani za wenzie.

Tuwe na utamaduni wa kuwaheshimu na wengine pale wanapokuwa na mlengo tofauti na yale tunayoyawaza na kuamini.
 
Hivi Joti na mikazi yote hiyo ya matangazo anayofanya bado anawaza ukuu wa wilaya?
Katika iyo mikazi kuna masuala ya kukwepa kodi na janja janja ndipo hapo wanapolenga.. sio machawa wote wana njaa ya vyeo wwngine pesa wanazo ila wanajiweka karibu na mamlaka kwa ajiri ya ulinzi wa janja janja katika zao
 
Back
Top Bottom