Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Inasikitisha sana
Unakuwa na kipaji ila akili zero
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unakuwa na kipaji ila akili zero
kaka kama mfumo uliopo unampa ulaji yeye na familia yake anakula anashiba sasa unataka afanyaje? ukombozi wa kifikra ni jambo gumu mno. Kasahau kwamba yeye ataishi hapa Duniani si zaidi ya miaka 50 toka leo, hafikirii wanaokuja wakute Tanzania ina hali gani, watoto wake, wakukuu zake, so as long as anashiba leo so who cares anyway?Joti amebeza mchakato wa katiba mpya kwamba hauna tija;
Umeiweka vizuri sidhani kama Joti anawinda ukuu wa wilaya kwa dili alizonazo mjini.Katika iyo mikazi kuna masuala ya kukwepa kodi na janja janja ndipo hapo wanapolenga.. sio machawa wote wana njaa ya vyeo wwngine pesa wanazo ila wanajiweka karibu na mamlaka kwa ajiri ya ulinzi wa janja janja katika zao