Joti Na Mkewe "HoneyMoon" Wakiwa Singita Grumeti Game Reserve Sabora Camp Serengeti

Joti Na Mkewe "HoneyMoon" Wakiwa Singita Grumeti Game Reserve Sabora Camp Serengeti

Aisee nimeingiwa na uwoga mkubwa sana, nilitaka kwenda huko na malaya wangu kumbe ndio kunasumbua hivo halaf promo nyingi kuweni wazalendo mkatembee mbuga
Wewe mwenyewe malaya sema naenda na malaya mwenzangu
 
Nenda tu mkuu! Cha kuhadithiwa ni tofauti na cha kuona!! Ila ndiyo hivyo!utalii wa huko si rafiki kwa mtu mweusi! Nimeambiwa!kisha nikashuhudia mwenyewe,its boring madam,ila mkuu kifinga amesema yeye ana acces na mamlaka hivyo tunategemea atafikisha malalamiko yetu na yatafanyiwa kazi kikamilifu!nililalamika pale geti la ngorongoro/serengeti,yule askari anayecheki vibali akaniambia "unalalamika nini wakati tena tumewapendelea sana tu? Au tukuandikie bili ya wageni mkome?" nikamwambia bora nilipe zaidi kuliko kuonyeshwa ubaguzi wa waziwazi!
Mkuu tunawawekea mtego kama ule wa tanesco soon watanasa unakumbuka waziri alipiga simu tanesco akajibiwa shit then kilichowapata mpaka sasa so soon tunanyoosha hifadhi zoote ujeuri utawaisha
 
Wasimamiz na guider wa mbugani wafundishwe kuondoa ule ushamba wa kuonesha dhalau kwa wazawa kisha wataona jinsi mbuga zitakavyofurika wabongo,
Kama hawatak waondolewe wawekwe wapya, kingwangala nakuaminia mkuu kama unapita hapa kuna dr. Mwaka mwingine kwenye mbuga zetu
Umesema kweli tupu!Mimi ni guide(Arusha),nimeshuhudia Mara nyingi wananchi wasio na majina wakisumbuliwa milangoni bila sababu za msingi.Pole ndugu!Hatujachelewa kabisa,Waziri aliyeko sasa, K ,anaweza kubadili hili .
 
Umesema kweli tupu!Mimi ni guide(Arusha),nimeshuhudia Mara nyingi wananchi wasio na majina wakisumbuliwa milangoni bila sababu za msingi.Pole ndugu!Hatujachelewa kabisa,Waziri aliyeko sasa, K ,anaweza kubadili hili .
Watalii pia walikuwa wanateseka ,kukaa milangoni masaa zaidi ya mawili ili kulipia viingilio.Leo hii wakikaa sana ni dk.10.Karibu mtanzania mwenzangu ufurahie hizi hifadhi zetu!
 
Safi sana. Staff wamemfurahia jamaa japo nimewaona wamekuwa kma watoto kushangilia ovyo
Hakika furaha ya hao staff ni furaha ya kweli,kule mara nyingi wanawahudumia watu wa nje ya Nchi yetu.Hongera Joti!popote ulipo watu lazima wawehuke kidogo.
 
Joti Na Mkewe "HoneyMoon" Wakiwa Singita Grumeti Game Reserve
Sabora Camp Serengeti

Yaani ndoa zikiwa kama HV safi sana,ije mvua,jua,ni mwendo wa tabasamu tu,safi sana,nawatakia maisha mema wadogo zangu,
 
IMG_00001035.jpg
Watalii pia walikuwa wanateseka ,kukaa milangoni masaa zaidi ya mawili ili kulipia viingilio.Leo hii wakikaa sana ni dk.10.Karibu mtanzania mwenzangu ufurahie hizi hifadhi zetu!
Mkuu nilikaa Nabi mpaka nikazoeana na hili jamaa
 
Inasemekana ni uwongo siyo harusi ni tangazo la chips snacks
 
View attachment 623974 View attachment 623974
Jumlisha na ubaguzi wa rangi mkuu! Ningehadithiwa ningebisha! Card yangu (master) niliyoitumia siku hiyohiyo pale karatu kufika getini naambiwa haifai!! Watu watatu pamoja na gari yetu tulitakiwa kulipa shilingi 77,800/, wale askari wa getini wakaniambia kwa kuwa kadi yangu haifai niwape wao shilingi 120,000 ili wanisaidie kulipa,nikawaambia hicho ni kiasi kikubwa mno,wakaniambia kama hutaki basi ondoa gari lako hapa sasa hivi!! Nikawauliza niliweke wapi wakati bado sijalipia? Nikawaambia wasubiri kuna mtu nimewasiliana naye anakuja kulipa,wakaondoka,baada ya dakika tatu tu wakarudi! Wakanishurutisha niondoe gari langu pale mara moja kwa kuwa nimekataa msaada wao hivyo sina nia ya kulipa! Wakati tunazozana pale mtu niliyewasiliana naye akaja,akaenda kulipa,akaambiwa network mbaya hivyo tuingie tukalipie makao makuu ya Ngorongoro!wakati huyu mwenye kadi yake alipaswa kurudia tu pale getini,yaani nilijuta kwenda huko
Naumia sana kusikia maneno kama haya. Kama wahusika wamo humo wajitahidi kurekebisha hali hii.
 
Back
Top Bottom