Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atawasemea kwa baba lkameruni
Ajuza Magamba..Inahusu nini?
Jamani mbona sijawahi kumsikia Joti akitajwa kuwa na msichana au mke?
Huwa namuona akiigiza kama mdada, na pia nasikia watoto wa mjini walisha wahi kumla kiboga.
Jamani Joti, si bora utafute lidada limoja utulie nalo?
Nakupongeza nasikia umejenga huko Kigamboni, ila nyumba bila mwanamke ni ghetto.
unataka kusema joti wanam-kamerun''
unataka kusema joti wanam-kamerun''
Wabongo never boring at all, mmefanya masaburi wa watu ajitambulishapo kwenye hafla watu wewe du!
hivi kwanini watu wngine mpo hivi?
swala la kumwita mwanaume mwenzio bwabwa
na huna uhakika ni la kipuuzi
kama wataka kujua mpelekee dadako af
ndo utajua aghhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh
Jamani mbona sijawahi kumsikia Joti akitajwa kuwa na msichana au mke?
Huwa namuona akiigiza kama mdada, na pia nasikia watoto wa mjini walisha wahi kumla kiboga.
Jamani Joti, si bora utafute lidada limoja utulie nalo?
Nakupongeza nasikia umejenga huko Kigamboni, ila nyumba bila mwanamke ni ghetto.
m ktk vyote nashangaa wennzake kwenye group lao wamenenepa ila jot yuko vilevile cjui ndo ufup noma au?
x wako ni dume?Mkuu Joti anatongozwa mbaya,mi nilikuwa nashare password na x wangu facebook,yaani nilikuwa namkuta Joti kwenye inbox ya x wangu anazingua kishenzi.....