Joti wa Ze Komedi

jamani tujaribu kuzungumza vitu vyenye uhakika, sio vzr kuwasingizia watu.
 
m ktk vyote nashangaa wennzake kwenye group lao wamenenepa ila jot yuko vilevile cjui ndo ufup noma au?
 
ngoja nikamate chibuku
lool mana hapa habari si habari




 
hivi kwanini watu wngine mpo hivi?
swala la kumwita mwanaume mwenzio bwabwa
na huna uhakika ni la kipuuzi
kama wataka kujua mpelekee dadako af
ndo utajua aghhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh


unataka kusema joti wanam-kamerun''
 
Wabongo never boring at all, mmefanya masaburi wa watu ajitambulishapo kwenye hafla watu wewe du!


Nilikutana na DIDAS MASABURI kwenye hafla ya NBC jamani af it seems ameshajua maana kila nikimtazama nilikua nacheka hee!! alintoleaa macho mbaka nikahama siti maana alinstukia nilikua nacheka na vile alivo..wabongo nomaa..kila alipokua anasimama watu wanacheka...
 
hivi kwanini watu wngine mpo hivi?
swala la kumwita mwanaume mwenzio bwabwa
na huna uhakika ni la kipuuzi
kama wataka kujua mpelekee dadako af
ndo utajua aghhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh


HEBU Tutokee hapa ..wapi kasema bwabwa?? ye kasema "wanam-kameruni" sijaona neno bwabwa hapo zaidi ya wewe kulitaja
 
Wakuu msione udogo wake mkadhani hayuko makini. Kwa taarifa yeni dogo Jotti ana nyumba tena nzuri tu na mke wake ni bomba usiambiwe. Jamaa anaishi Ulongoni kwa mnaofahamu hilo eneo, sio mbali mara baada ya kuvuka lile daraja upande wa kushoto kama unaeleke kituoni ulongoni.

Nyumba yake nzuri na ya kisasa, mke wake ni bomba sana ingawa siwezi kuwaambia tabia ya mkewe kwani jamaa anaweza kupatwa kizunguzungu bureee!
 

Naona kama unajipigia debe kimtindo
 
m ktk vyote nashangaa wennzake kwenye group lao wamenenepa ila jot yuko vilevile cjui ndo ufup noma au?

anenepe ili iweje mkuu. kila mtu na genetics yake. nyie ndo mnamhukumu mtu kwa umbo, sisi wabongoooo!
 
Nasikia Joti kawekwa ndani na lijimama limoja mitaa ya Obay. Jimama mumewe alikufa, watoto wake wote wako nje ya nchi na Joti ndio analiliwaza lijimama hilo
 
Mkuu Joti anatongozwa mbaya,mi nilikuwa nashare password na x wangu facebook,yaani nilikuwa namkuta Joti kwenye inbox ya x wangu anazingua kishenzi....labda huo uzushi,ila hatuwezi tukajua privancy ya mtu.
 
Mkuu Joti anatongozwa mbaya,mi nilikuwa nashare password na x wangu facebook,yaani nilikuwa namkuta Joti kwenye inbox ya x wangu anazingua kishenzi.....
x wako ni dume?
au jike?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…