Joti wa Ze Komedi

bwabwa,
kiboga,
kameruni...
...hatari tupu..
 

Bila shaka wewe utakuwa ni DUNGAYEMBE,si umtafute uombe nafasi kama haina mtu.
 
nazani bado watu wanatakiwa wapewe elimu ya maigizo na uhalisia-
joti anaigiza-haimaanishi ndivyo alivyo
 
kumbe ana mke na mtoto mi pia sikuwahi kusikia
 
............mhk.......sijui hata nichangie nini hapa...........!
 
msimzushie bwana ana mchumba na mtoto 1.
 
Mkuu Joti anatongozwa mbaya,mi nilikuwa nashare password na x wangu facebook,yaani nilikuwa namkuta Joti kwenye inbox ya x wangu anazingua kishenzi....labda huo uzushi,ila hatuwezi tukajua privancy ya mtu.
Mimi wala simshangai huyo x wako,mwaka jana mwanzoni hawa mastaa wetu wakike waigizaji/waimbaji waliulizwa kati ya mastaa wakiume nani mnamkubali kwa mambo ya chumbani ? na jina la Joti lilitajwa sana walidai jamaa ana miguu mitatu na anajua kuutumia huo wa ziada.Sasa hili la sijui wana-mkameron sidhani kama ni kweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…