Uporoto01 jamaa nilikuwa namjibu inbox anag'ang'ania mbaya,ila si unajua watu wanazusha tuMimi wala simshangai huyo x wako,mwaka jana mwanzoni hawa mastaa wetu wakike waigizaji/waimbaji waliulizwa kati ya mastaa wakiume nani mnamkubali kwa mambo ya chumbani ? na jina la Joti lilitajwa sana walidai jamaa ana miguu mitatu na anajua kuutumia huo wa ziada.Sasa hili la sijui wana-mkameron sidhani kama ni kweli.
Mkuu katika top 10 iliyotajwa na hao kina dada ukimwacha Joti pia kuna Masanja mkandamizaji-walidai nae anajitahidi lol! na Mrisho Ngassa wengine siwakumbuki.Uporoto01 jamaa nilikuwa namjibu inbox anag'ang'ania mbaya,ila si unajua watu wanazusha tu
mkuu mi nilishaambiwa hata hussein machozi,alikiba nao bdo hvo,ila siwezi kuamini,si unajua maisha ya watu kama hawajajitambulisha lazima uwe kimyaMkuu katika top 10 iliyotajwa na hao kina dada ukimwacha Joti pia kuna Masanja mkandamizaji-walidai nae anajitahidi lol! na Mrisho Ngassa wengine siwakumbuki.
Jaman achen uzushi nyie watu.kama hujui maisha ya mtu ts beta ukae kimya.niliwah kumsikia Joti Clouds fm akihojiwa akasema ana girlfrnd na mtoto mmoja wa kike.sasa mnaomzushia achen mambo yenu hayo.
kama aliliwa kiboga kama mchonvu na dj fetty..basi ni hatari.
kweli umaarufu ni kama mzigo wa miiba
kama aliliwa kiboga kama mchonvu na dj fetty..basi ni hatari.
Hii ilitokea wapi tena?
nazani bado watu wanatakiwa wapewe elimu ya maigizo na uhalisia-
joti anaigiza-haimaanishi ndivyo alivyo