Joto gani na unyevu vinafaa kwenye incubator ikiwa na mayai

Joto gani na unyevu vinafaa kwenye incubator ikiwa na mayai

Kwa siku kumi na nane za mwanzo joto linatakiwa kuwa 37.5 na unyevu unyevu unatakiwa kuwa kati ya 50-60%..

Na siku tatu za mwisho yaani siku ya 19-21 joto lishushwe mpaka 36.5 na unyevu unyevu unatakiwa kuongezeka hadi 60-70%..
 
Kwa siku kumi na nane za mwanzo joto linatakiwa kuwa 37.5 na unyevu unyevu unatakiwa kuwa kati ya 50-60%..

Na siku tatu za mwisho yaani siku ya 19-21 joto lishushwe mpaka 36.5 na unyevu unyevu unatakiwa kuongezeka hadi 60-70%..
Mm joto niliweka 37.8 na humidity 63 kwasiku ya 1_18 na siku ya 18_21 joto nimeweka 36.5 na unyevu 70 je nipo sahihi? Naomba ushauli wako
 
Back
Top Bottom