Nawashangaa sana wanaosema eti miaka ya nyuma December haikuwa na joto. Kuna watu hawako informed kabisa. Hiki ni kipindi cha joto, nyuzi 30-35c ni kawaida kwa mji kama Dar ni wewe kujua namna ya kujikinga na hilo joto.Huu ndio muda wa joto mkuu tropiki ya kaprikoni na maeneo ya karibu sababu ya jua la utosi na maandalizi ya mvua za masika...
Jua sasa hivi linachapa kweli kweli huku likivukisha maji kwenda mawinguni kutengeneza precipitation itayokuja kuwa mvua miezi kadhaa ijayo...(Jiografia sijui standard gani ile )
Kuna watu wanaongea vitu wasio na uhakika navyo, eti December haikuwa na joto labda wanazungumzia nchi za magharibi huko USA,UK etcWewe utakuwa mgeni Dar. Miaka yote joto Dar linakuwa kuanzia December hadi March wiki ya 2 au ya 3 kabla ya mvua za masika kuanza. Generally December, January na February ni miezi ya joto pwani yote ya Tanzania especially Dar
Nawashangaa sana wanaosema eti miaka ya nyuma December haikuwa na joto. Kuna watu hawako informed kabisa. Hiki ni kipindi cha joto, nyuzi 30-35c ni kawaida kwa mji kama Dar ni wewe kujua namna ya kujikinga na hilo joto.
Na wewe pia mkuu.Heri ya mwaka mpya kamanda...
Habari wadau.
Joto la Dar sasa hivi linarange kati ya 33 • C hadi 35•C lakini unapata feeling ya 41•C kutokana na humidity.
Kwa kweli hali hii ni mbaya sana ambayo kama huna air condition iwe kwenye usafiri au nyumbani kwako kwako maisha yatakuwa ya taabu sana.
Tips muhimu za kuishi maisha ya hali hii ya joto ni pamoja na;
1. kunywa maji na vimiminika kwa wingi
2. Kuepuka kukaa kwenye jua moja kwa moja
3. Kuvaa nguo nyepesi
Hope TMA wataliongelea hili and hope hizotips zimesaidia
View attachment 2858039
Aahh.. Mkuu, masihara hayo ndugu yangu, hizo ac unawasha kwa dk ngapi mzee?
Hii ni hali ya joto ya December mwaka jana. Ni vyema tukaongea vitu kwa takwimu na siyo hisia.Wewe utakuwa mgeni Dar. Miaka yote joto Dar linakuwa kuanzia December hadi March wiki ya 2 au ya 3 kabla ya mvua za masika kuanza. Generally December, January na February ni miezi ya joto pwani yote ya Tanzania especially Dar
Uko vizuri Smart.. Ni kubarizi tu
Zanzibar nasi tunakoma mkuu, hajuna tofauti na DarHuyu mnyama atakuwa ni waDar tuu.
Yaani nilitaka nitafute fundi AC aisee, maana me kwa kawaida nikiwasha AC kwa masaa 4 tu unit 5 mpaka 7 zinakatikaKiongozi mimi nimefunga A/C chumbani kwangu nnafeni vyumba vya watoto na friji umeme wa 5000 kwa siku unaisha ambapo ni unit 14 kwa siku sasa huyu ananiambia unit tatu kwa siku ? Aisee maana nimefatilia kama utawasha A/c masaa yote na vitu vingine basi kila lisaa inaweza ikala unit moja
1. Kama ukuta wa chumba haupigwi sana na jua na kuchemka. 2. Hukai ghorofani top floor yenye paa la zege tu 3. Uchumi wa kawaida sana, Btu 9000 inatosha. Kinyume chake chukua btu 1200. Hakikisha ni inverter.Hivi chumba cha 5 x6m kinahitaji ac ta btu ngapi?
Inveter ndio kitu gani mazee1. Kama ukuta wa chumba haupigwi sana na jua na kuchemka. 2. Hukai ghorofani top floor yenye paa la zege tu 3. Uchumi wa kawaida sana, Btu 9000 inatosha. Kinyume chake chukua btu 1200. Hakikisha ni inverter.
Takuja kukusalimuUkiona nimevaa nguo hata ya ndani ujue natoka
Tofauti na hapo nakaa ndani kama Hawa kwenye bustani ya Eden
Humidity huko ni ndogoHuku Khartoum tunatembea na 45 afu freshi tu
Dar sehemu ambazo kuna baridi ni kifuru,king'azi na kipindi hiki kuna joto balaaIla hili joto linategemea na ww unakaa wapi.. kuna sehemu huku hakuna joto kabisa na ni Dar hii hii..