Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Hiyo AC itakuwa mbovu, kama ni feni Sawa linazidiwa na linaleta joto badala ya upepo.Joto ni kali kuna mida AC zinazidiwa nguvu, sijui?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo AC itakuwa mbovu, kama ni feni Sawa linazidiwa na linaleta joto badala ya upepo.Joto ni kali kuna mida AC zinazidiwa nguvu, sijui?
Dogo mwongo mwongo sana. Anataka kutufunga kambaKumbe umemstukia huyu dogo. Mie nilishangaa maana AC BTU 24,000 moja na taa 18 dukani tunatumia umeme wa elfu 10 kwa siku ambazo ni unit 28
Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
🥵Huku joto mpaka feni ina sweat
Friji 2 unawasha masaa 24?Binafc nilishangaa hiyo AC na fan kwa unit tano,natumia almost unit 4 kwa siku mataa ya nyumba fridge mbili na tv tu na kuchaji cm tu yani nilikua nafikiria kua na AC kama ingekua unatumia kiwango
Jifunze kuvaa mawani ya jua aseeHizo tips ni za wenye ukwasi.
Sie ambao ridhiki yetu ipo miguuni mwetu, hili jua tushalizoea .
Hakuna AC
Hakuna vimiminika
Hakuna msosi
Jua linakuchapa utosini
Jasho linakutiririka
Unatembea more than 100km per day.
Mungu ni mwema, anatulinda.
Ni nyuzi joto 32Dar Hali ya joto mbaya sana..
Huyu mnyama atakuwa ni waDar tuu.[emoji1783]
Hii ni kweli kabisa ukiweka AC vyumba 2 lazima utumie umeme wa 300,000 kw mwezi endapo zitawaka masaa 24Kiongozi mimi nimefunga A/C chumbani kwangu nnafeni vyumba vya watoto na friji umeme wa 5000 kwa siku unaisha ambapo ni unit 14 kwa siku sasa huyu ananiambia unit tatu kwa siku ? Aisee maana nimefatilia kama utawasha A/c masaa yote na vitu vingine basi kila lisaa inaweza ikala unit moja
Wakati hata akisoma kwenye unit ya nje imeandikwa unit inazotumia mfano BTU 18 inameza 2.34unitsDogo sijui alisikia sikia wapi naye kaona aje atuchomekee humu akidhani wote hatujui matumzi ya umeme ya AC.
Ukiona inazidiwa maana yake uwezo wake ni mdogo kuliko eneo husikaJoto ni kali kuna mida AC zinazidiwa nguvu, sijui?
Washatabiri 2024 itakuwa kuliko 2023Ilisemwa mwaka 2023 ndio mwaka ulivunja rekodi kwa kuwa na joto kali.
Tutegemee mwaka 2024 nao kuelekea hukohuko.
Duh!Dar Lile joto lake ni mateso asee, mm palinishinda nikaamua kurudi zangu kanda ya ziwa, nilipo fika tu chalinze nikapumua angalau na baridi Kali nikaanza kuli feel nilipo fika morogoro nikasema hakika hii ndio nchi sasa achana na Hawa wanao ishi jehanam ndogo.
Ila hili joto linategemea na ww unakaa wapi.. kuna sehemu huku hakuna joto kabisa na ni Dar hii hii..Hili joto ni hatari mzee, nashinda bafuni kama chura, kila saa kwenye maji. Maajabu ya sasa ni kila nikitoka kuoga na jasho linatoka hapo hapo.