kapyoko
JF-Expert Member
- May 10, 2022
- 1,365
- 2,134
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]Huwezi washa fan na AC ukatumia unit 6 kwa siku. Huna AC dogo. Acha mbwembwe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]Huwezi washa fan na AC ukatumia unit 6 kwa siku. Huna AC dogo. Acha mbwembwe.
Kaa hapo na mila zako kama zinakusaidia chochoteKuvaa nguo nyepesi inaweza isiwe vizuri kwa mila na desturi zetu
Umemdaka mtu muongoHuwezi washa fan na AC ukatumia unit 6 kwa siku. Huna AC dogo. Acha mbwembwe.
AC 3 utumie Unit 6, hivi wajitambua kweli?Vyumba vitatu AC tatu, sebulen feni tatu plus friji. Nyumba niliyotoka nilikuwa natumia unit 3 tu kwa siku.
Ukiamua kubisha bisha tu ni haki yako
Sisi wa Kigamboni mambo, salamu ziende Kwa wakazi wa magomeni kigogo na MburahatiSisi wa huku Pugu mpaka Kisarawe tuna nafuu kidogo.Tunatuma salamu Kwa ndugu zetu wa Manzese na Buguruni Kwa Mnyamani.
Hata hizo huwezi tumia unit 6 kwa AC 3Labda ni zile ac za kisasa wanaziita invetor sijui kitu gani hazili umeme kama Ac za kawaida.
Mpangaji unahama nyumba moja unahamia nyingne, Mungu umeninusuru na hili.Noma sana. Mimi nlipokuwa natafta nyumba nikakuta hii nyumba ina ac na feni kila chumba na budget iko ndani ya budget nikafurahi ila sasa naona haya masuala ya umeme yanafanya matumizi yangu yaongezeke.
Mkuu mimi sijawahi tumia zaidi ya unit 3 toka nimeanza kuishi sema pia kipindi hicho sikuwa na familia kubwa.
Nyumba yake au ya watu?Acha utani ndugu, ni vipi kwenye nyumba yako AC zinawashwa na mafeni juu alafu unatumia units 5-6 kwa siku??
Huko kigamboni ndo nasikia kuna fukuto linalosababishwa na humiditySisi wa Kigamboni mambo, salamu ziende Kwa wakazi wa magomeni kigogo na Mburahati
mwaka ganiMiaka ya myuma mwezi huu haukupaswa kuwa na joto
kwa hiyo unatembea uchi wa mnnyama?Kaa hapo na mila zako kama zinakusaidia chochote
Kiongozi mimi nimefunga A/C chumbani kwangu nnafeni vyumba vya watoto na friji umeme wa 5000 kwa siku unaisha ambapo ni unit 14 kwa siku sasa huyu ananiambia unit tatu kwa siku ? Aisee maana nimefatilia kama utawasha A/c masaa yote na vitu vingine basi kila lisaa inaweza ikala unit mojaAcha uongo dogo, AC moja ndani ya saa kumi na mbili inakata vizuri kabisa unit kuanzia 50 hadi 80 wewe hizo AC umezitoa wapi
Kila kitu cha mwaka 2023 kimezidi, baridi ilikuwa mpk watu wanaomba iishe, zikaja mvua ndio hizo mpk zimondoka na roho za watu na hili joto ndio komesha. Limekuja na homa watu wanajifia tu. Malaria zimepamba motoSio kweli hiki ndo kipindi Cha joto Kuanzia mwezi wa 9 mpk kipindi Hadi tunaanza masika ndo joto linaanzia kupotea
Isipokuwa joto la mwaka huu limezidi viwango
Dogo sijui alisikia sikia wapi naye kaona aje atuchomekee humu akidhani wote hatujui matumzi ya umeme ya AC.Umemdaka mtu muongo
Sawa tajiri....Matajiri hawalii joto kali ,Nyie wengine endeleeni kuteseka Dar