Lavit
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 14,834
- 32,522
Wewe ndo hujui loloteAcha uongo dogo, AC moja ndani ya saa kumi na mbili inakata vizuri kabisa unit kuanzia 50 hadi 80 wewe hizo AC umezitoa wapi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ndo hujui loloteAcha uongo dogo, AC moja ndani ya saa kumi na mbili inakata vizuri kabisa unit kuanzia 50 hadi 80 wewe hizo AC umezitoa wapi
Hili joto ni hatari mzee, nashinda bafuni kama chura, kila saa kwenye maji. Maajabu ya sasa ni kila nikitoka kuoga na jasho linatoka hapo hapo.Nimeenda kumtembelea Manzi mmoja hivi maeneo ya Kigambon huko.
Aisee kuna joto la kufa mtu imenibidi nioge mara 3 ndani ya masaa mawili...
Mvua iliyonyesha haina faida kwa wakazi wa Dar zaidi ya hasara tu
Nimetoka hapo as hvi ni kweli bahari Inatema mvukeKigamboni karibu na Bahari, kuna kitu kinaitwa fukuto, ikifika saa 2 usiku kuendelea joto ni kali hatari yani ni mateso mateso mateso
Kunguni umewaonea ndugu zangu wa vingunguti na si nyumba zote fupiHuku kwetu vingunguti, nyumba ni fupi, joto kali ndani, bado mbu, kunguni,
#Mbu_kunguni_Joto!
Msione watu wamelala mchana mkasema wavivu ni kichapo cha usiku 😁😁😁
Niliingia lodge nikalipa 20k, kuanzia saa kumi jioni hadi kesho saa nne na nimewasha kipupwe, inamaana wanakula loss?Binafc nilishangaa hiyo AC na fan kwa unit tano,natumia almost unit 4 kwa siku mataa ya nyumba fridge mbili na tv tu na kuchaji cm tu yani nilikua nafikiria kua na AC kama ingekua unatumia kiwango
wa hovyo kila kona hawakosekani.Kuvaa nguo nyepesi inaweza isiwe vizuri kwa mila na desturi zetu
Acha uongo, Mimi sina AC na natumia hizo unit 6 Kwa 24 hours.Vyumba vitatu AC tatu, sebulen feni tatu plus friji. Nyumba niliyotoka nilikuwa natumia unit 3 tu kwa siku.
Ukiamua kubisha bisha tu ni haki yako
Hivi unajuwa hata unit ni nini? Unit 28 ni shilling 10,000/= sasa hebu fanya calculation hapo ndio ujuwe hujui.Acha uongo dogo, AC moja ndani ya saa kumi na mbili inakata vizuri kabisa unit kuanzia 50 hadi 80 wewe hizo AC umezitoa wapi
Ona mwingine huyu.una utani sana we dogo, Nimekaa nyumba tofauti, Zenye AC Kuwasha AC moja ya sebuleni kwa siku kuanzia saa moja hadi saa nne usiku inabonda umeme wa 30000 kiulaini kabisa, Hiyo ni AC moja, siku Moja Una utani khaaa!
Ac gani inq ukubwa ganiAcha uongo, Mimi sina AC na natumia hizo unit 6 Kwa 24 hours.
Shida iko kwenye mipango miji. Uzembe wa kujenga kwa mpango ni janga ambalo kila mkazi na mgeni wa Dar atalilipa kwa gharama kubwa. Japo kweli Dar iko ukanda wa joto lakini hali imezidishwa na kujenga holela bila kuacha open spaces, kujenga kwa nafasi na kupanda miti mingi. Uzembe wa wananchi kuacha viongozi kufanya watakavyo unatu-cost. 1. Joto 2. Mafuriko 3. Magonjwa 4. Foleni ya magari 5. Kelele. Mwisho wa haya yote utakuwa ni kukubali kuwa tulifanya makosa na kubomoa (japo ni muda mrefu sana)Mimi nilidhan shida iko kwenye hii nyumba mpya niliyohamia maana hata mvua inyeshe bado kuna joto.
Yani sasa hivi natumia unit almost 5 hadi 6 kwa siku maana mafeni na AC ndani ya nyumba zinawashwa muda mrefu.
Kumbe hata kwa wengine hivyo hivyo.
Kwa kweli hili joto ni balaa na sasa ilipaswa walau kuwepo baridi kidogo
Hili siyo joto la kawaida asikudanganye mtu, ni kama Mwaka Jana Uingereza Kwa mara ya Kwanza joto lilizidi mpaka mataili ya magari yakawa yanayeyuka.Joto la kawaida sana hilo...
Watu wa kusini au kaskazini mwa dunia, summer zao huwa zinakuwa na fukuto zaidi ya hilo...
India kipindi cha joto kuna watu huwa wanafariki sababu ya joto kali, watu wanaoishi karibu na mito huwa wanajiloweka tu mitoni...
Joto lililopo halihusiani na hiki ulichoandika, Dar kuna kipindi tabia ikibadirika huwa tunajifunika duveti kabisa na baridi unaisikia.Shida iko kwenye mipango miji. Uzembe wa kujenga kwa mpango ni janga ambalo kila mkazi na mgeni wa Dar atalilipa kwa gharama kubwa. Japo kweli Dar iko ukanda wa joto lakini hali imezidishwa na kujenga holela bila kuacha open spaces, kujenga kwa nafasi na kupanda miti mingi. Uzembe wa wananchi kuacha viongozi kufanya watakavyo unatu-cost. 1. Joto 2. Mafuriko 3. Magonjwa 4. Foleni ya magari 5. Kelele. Mwisho wa haya yote utakuwa ni kukubali kuwa tulifanya makosa na kubomoa (japo ni muda mrefu sana)
Of course siyo watu wote wanaoweza kuona uhusiano wa nilichondika na hili joto ndiyo maana mji umejengwa bila mpango kama ilivyo sasa. Sorry!Joto lililopo halihusiani na hiki ulichoandika, Dar kuna kipindi tabia ikibadirika huwa tunajifunika duveti kabisa na baridi unaisikia.
Hii ya sasa NI noma, ndio watu wenye mitaji wazione hizi fursa na kujenga community swimming pool kila Kata unapinga pesa mpaka utashangaa.
Mamtoni summer time community swimming pool zinafunguliwa, hata joto likizidi kila kata wana pool Lao la kuenjoy na kupooza miili.
Duuh,Ukiona nimevaa nguo hata ya ndani ujue natoka
Tofauti na hapo nakaa ndani kama Hawa kwenye bustani ya Eden
Kumbe umemstukia huyu dogo. Mie nilishangaa maana AC BTU 24,000 moja na taa 18 dukani tunatumia umeme wa elfu 10 kwa siku ambazo ni unit 28Huwezi washa fan na AC ukatumia unit 6 kwa siku. Huna AC dogo. Acha mbwembwe.