Joto la sasa la Dar linaweza vunja rekodi

Joto la sasa la Dar linaweza vunja rekodi

Huku kwetu vingunguti, nyumba ni fupi, joto kali ndani, bado mbu, kunguni,
#Mbu_kunguni_Joto!
Msione watu wamelala mchana mkasema wavivu ni kichapo cha usiku [emoji16][emoji16][emoji16]
Nyie machawa mnatakiwe muive kabsaa hilo joto halitoshi kwenu
 
Joto la kawaida sana hilo...

Watu wa kusini au kaskazini mwa dunia, summer zao huwa zinakuwa na fukuto zaidi ya hilo...

India kipindi cha joto kuna watu huwa wanafariki sababu ya joto kali, watu wanaoishi karibu na mito huwa wanajiloweka tu mitoni...
 
Habari wadau.
Joto la Dar sasa hivi linarange kati ya 33 • C hadi 35•C lakini unapata feeling ya 41•C kutokana na humidity. Kwa kweli hali hii ni mbaya sana ambayo kama huna air condition iwe kwenye usafiri au nyumbani kwako kwako maisha yatakuwa ya taabu sana.
Tips muhimu za kuishi maisha ya hali hii ya joto ni pamoja na;
1. kunywa maji na vimiminika kwa wingi
2. Kuepuka kukaa kwenye jua moja kwa moja
3. Kuvaa nguo nyepesi
Hope TMA wataliongelea hili and hope hizotips zimesaidia
View attachment 2858039
Bila shaka ni mvua inajikusanya.
 
Mimi nilidhan shida iko kwenye hii nyumba mpya niliyohamia maana hata mvua inyeshe bado kuna joto.
Yani sasa hivi natumia unit almost 5 hadi 6 kwa siku maana mafeni na AC ndani ya nyumba zinawashwa muda mrefu.
Kumbe hata kwa wengine hivyo hivyo.
Kwa kweli hili joto ni balaa na sasa ilipaswa walau kuwepo baridi kidogo
Dah!...ni hatari kweli kweli
 
Habari wadau.
Joto la Dar sasa hivi linarange kati ya 33 • C hadi 35•C lakini unapata feeling ya 41•C kutokana na humidity. Kwa kweli hali hii ni mbaya sana ambayo kama huna air condition iwe kwenye usafiri au nyumbani kwako kwako maisha yatakuwa ya taabu sana.
Tips muhimu za kuishi maisha ya hali hii ya joto ni pamoja na;
1. kunywa maji na vimiminika kwa wingi
2. Kuepuka kukaa kwenye jua moja kwa moja
3. Kuvaa nguo nyepesi
Hope TMA wataliongelea hili and hope hizotips zimesaidia
View attachment 2858039
Mbinu nyingine ni kujimwagi maji mara kwa mara mkuu....usikae mbali na bafu

Sasa wale wazee wa migegedo akina DeepPond sijui wanaishije na joto hili aisee. Ni hatari🤣🤣🤣🤣
 
Dar Lile joto lake ni mateso asee, mm palinishinda nikaamua kurudi zangu kanda ya ziwa, nilipo fika tu chalinze nikapumua angalau na baridi Kali nikaanza kuli feel nilipo fika morogoro nikasema hakika hii ndio nchi sasa achana na Hawa wanao ishi jehanam ndogo.

Maeneo ya pwani hayafai kabisa
 
Back
Top Bottom