Mufti kuku The Infinity
JF-Expert Member
- Sep 21, 2019
- 6,053
- 10,032
Duh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie machawa mnatakiwe muive kabsaa hilo joto halitoshi kwenuHuku kwetu vingunguti, nyumba ni fupi, joto kali ndani, bado mbu, kunguni,
#Mbu_kunguni_Joto!
Msione watu wamelala mchana mkasema wavivu ni kichapo cha usiku [emoji16][emoji16][emoji16]
Plus bangi lazima ufeHapo umetembelewa na demu wako wa chanika mnapigana miti jasho la kwenda, kunguni, mbu & joto
Sio kweli hiki ndo kipindi Cha joto Kuanzia mwezi wa 9 mpk kipindi Hadi tunaanza masika ndo joto linaanzia kupoteaMiaka ya myuma mwezi huu haukupaswa kuwa na joto
Bila shaka ni mvua inajikusanya.Habari wadau.
Joto la Dar sasa hivi linarange kati ya 33 • C hadi 35•C lakini unapata feeling ya 41•C kutokana na humidity. Kwa kweli hali hii ni mbaya sana ambayo kama huna air condition iwe kwenye usafiri au nyumbani kwako kwako maisha yatakuwa ya taabu sana.
Tips muhimu za kuishi maisha ya hali hii ya joto ni pamoja na;
1. kunywa maji na vimiminika kwa wingi
2. Kuepuka kukaa kwenye jua moja kwa moja
3. Kuvaa nguo nyepesi
Hope TMA wataliongelea hili and hope hizotips zimesaidia
View attachment 2858039
Ukishaenda kitambaa cheupe utafuta hiyo kauliWatu wanaoishi Dar, maisha yao ni ya tabu sana,
Dah!...ni hatari kweli kweliMimi nilidhan shida iko kwenye hii nyumba mpya niliyohamia maana hata mvua inyeshe bado kuna joto.
Yani sasa hivi natumia unit almost 5 hadi 6 kwa siku maana mafeni na AC ndani ya nyumba zinawashwa muda mrefu.
Kumbe hata kwa wengine hivyo hivyo.
Kwa kweli hili joto ni balaa na sasa ilipaswa walau kuwepo baridi kidogo
Daby ya kitandan ina joto lakeChanika changanyikeni hiyo couple itakuwa ina-experience sawa kwenye suala la joto maana duh 😂😂😂
Tena bangi uvutie chembaPlus bangi lazima ufe
Mbinu nyingine ni kujimwagi maji mara kwa mara mkuu....usikae mbali na bafuHabari wadau.
Joto la Dar sasa hivi linarange kati ya 33 • C hadi 35•C lakini unapata feeling ya 41•C kutokana na humidity. Kwa kweli hali hii ni mbaya sana ambayo kama huna air condition iwe kwenye usafiri au nyumbani kwako kwako maisha yatakuwa ya taabu sana.
Tips muhimu za kuishi maisha ya hali hii ya joto ni pamoja na;
1. kunywa maji na vimiminika kwa wingi
2. Kuepuka kukaa kwenye jua moja kwa moja
3. Kuvaa nguo nyepesi
Hope TMA wataliongelea hili and hope hizotips zimesaidia
View attachment 2858039
TrueLina andaa mvua ya kutosha
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji3], kuishi Dar ni kero iliyo pitiliza, Maisha ya kule, watu ukiwaangalia usoni unaweza dhani wameishiwa maji mwilini.
Dar Lile joto lake ni mateso asee, mm palinishinda nikaamua kurudi zangu kanda ya ziwa, nilipo fika tu chalinze nikapumua angalau na baridi Kali nikaanza kuli feel nilipo fika morogoro nikasema hakika hii ndio nchi sasa achana na Hawa wanao ishi jehanam ndogo.
na fredge tena😂😂😂😂 we muongo aseeVyumba vitatu AC tatu, sebulen feni tatu plus friji. Nyumba niliyotoka nilikuwa natumia unit 3 tu kwa siku.
Ukiamua kubisha bisha tu ni haki yako
tena ivo ndo unabugiabalaa kupooza vyumba viwili sio mchezo😂Sijui mkuu ila vyumba viwili vinashare compressor moja kubwa. Sijui inaitwa compressor ile sehem inayokaa nje inazunguka
😂😂😂😂😂 poleni aseeHuku kwetu vingunguti, nyumba ni fupi, joto kali ndani, bado mbu, kunguni,
#Mbu_kunguni_Joto!
Msione watu wamelala mchana mkasema wavivu ni kichapo cha usiku 😁😁😁