Joto la sasa la Dar linaweza vunja rekodi

Joto la sasa la Dar linaweza vunja rekodi

Mtwara hiyo balaa lake ni hatari
Screenshot_20240101-140655.png
 
Katika vitu nilivyowahi jichanganya basi ni kuishi dsm yaan korodan zinaumka ngozi utadhani zimechemshwa yaan daa! Nataman kurudi zangu kahama machimboni tatizo raman kule bado hazisomi ni hatariii sana dsm sipawezi
Mi mwenyewe dar sipawezi nataka nijipange mwezi wa sita nirudi mkoan

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
kwa hiyo unataka tukusaidie nini? endelea kukaa dar.sisi huku aahh maisha safi
 
Back
Top Bottom