Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Habari!
Kuna wakati Mimi napingana na sayansi ya mazingira. Mara nyingi hata kwenye mikutano ya kimataifa wanajadili global warming ambayo inasababishwa na shughuli za kibinadamu kama viwanda, kilimo, uvuvi n.k.
Lakini kuna misimu mingine ya baridi kwa maeneo mbalimbali duniani inapita kawaida yake na kufanya baridi kuwa kali zaidi mpaka kusababisha vifo kwenye baadhi ya maeneo.
Sasa unajiuliza miezi michache tu au miaka michache tu nyuma kuna watu walikuwa wanatoa speech kuhusu global warming katika dunia au maeneo fulani unajiuliza ndani ya muda mfupi huu mwanadamu ameshaacha kuharibu nature nasasa baridi limeongezeka?
Mfano: Baridi la Dar es Salaam msimu huu wa baridi limekuwa kali kuliko miaka mingi iliyopita. Je, kuna mwanasayansi anaweza kuthibitisha kuwa Dar shughuli zinazoharibu mazingira zimekoma?
Kuna wakati Mimi napingana na sayansi ya mazingira. Mara nyingi hata kwenye mikutano ya kimataifa wanajadili global warming ambayo inasababishwa na shughuli za kibinadamu kama viwanda, kilimo, uvuvi n.k.
Lakini kuna misimu mingine ya baridi kwa maeneo mbalimbali duniani inapita kawaida yake na kufanya baridi kuwa kali zaidi mpaka kusababisha vifo kwenye baadhi ya maeneo.
Sasa unajiuliza miezi michache tu au miaka michache tu nyuma kuna watu walikuwa wanatoa speech kuhusu global warming katika dunia au maeneo fulani unajiuliza ndani ya muda mfupi huu mwanadamu ameshaacha kuharibu nature nasasa baridi limeongezeka?
Mfano: Baridi la Dar es Salaam msimu huu wa baridi limekuwa kali kuliko miaka mingi iliyopita. Je, kuna mwanasayansi anaweza kuthibitisha kuwa Dar shughuli zinazoharibu mazingira zimekoma?