Joto linapozidi Bongo warembo hutoka hivi

Hawa warembo wasitutishe hamna lolote, unawaona wako kwenye promosheni ya miller halafu wanalipwa buku ten. hamna kitu hoa

Malipo huwa ni makubaliano kati ya anaetoa na anaenunua, kwa kiasi chochote walichokubaliana kulipana hakituhusu, sisi
1. Tunanafurahia hawa mabinti wazuri kwa asilimia 88.9
2. Wamefanya choice nzuri ya watu waku-promote bia aina ya miller wanafanana na hadhi ya bia
3. Kwa kuwafurahia hawa mabinti tayari tangazo limefanikiwa kwa kiasi kikubwa
4. Hawa mabinti nao tayari wameji-promote wenyewe
5. Kwa chochote walichokubaliana kulipwa wamelipwa na wamefurahia ndiyo maana pose lao babukubwa

HUREEEEEEEEYI
 
Hawa naona wanatangaza hiyo kinywaji bwana miller ubora uliosifika
 
Huyo demu wa kati kwa kweli anajua assets zake ziko wapi
 
mbona tunarushana roho, watoto wazuri kiasi hiki, hapa kiboko


usibabaishwe na body , wewe Omba ku-test injini . Ndo utajua wako bomba au hapana. Unaweza ukaingia humo ndani ukakuta "kama ni gari limebaki screpa tu" unaweza kuta "injini imeshashushwa" mara kibao !!!
 
Tofauti tu hapa inaonekana sio Bongo
 
usibabaishwe na body , wewe Omba ku-test injini . Ndo utajua wako bomba au hapana. Unaweza ukaingia humo ndani ukakuta "kama ni gari limebaki screpa tu" unaweza kuta "injini imeshashushwa" mara kibao !!!
Wataalamu wenyewe wanakuambia 'Mla ni mla leo mla jana kala nini'
 

Kwa madongo tu, nakupa shikamoo!
 
Hawa wanaonyesha kuwa kuna uhusiano mkubwa sana kati ya ULEVI na UZINZI/UASHERATI
 
Salaaaale! Duh hali hii, hapa ndoa ni za mkataba tu 2 yrs mkataba unaisha naoa mwingine. Sasa kumbe nifanyaje na woote wazuriiiiii. Jamani mweee!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…