Jaman ili tatizo silielewi kila ninapo vaa boxer au surual sehem za siri inakua joto sana na nikivua nguo mapumbu yanakua yamelegea kama mlenda
Je hili tatizo lina madhara gani na je nifanye nn ili kuliepuka... maana mwezi wa nne huu natafuta mtoto lakini sipati...
Jaman ili tatizo silielewi kila ninapo vaa boxer au surual sehem za siri inakua joto sana na nikivua nguo mapumbu yanakua yamelegea kama mlenda
Je hili tatizo lina madhara gani na je nifanye nn ili kuliepuka... maana mwezi wa nne huu natafuta mtoto lakini sipati...