jonas255
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 225
- 110
Jamani ili tatizo silielewi kila ninapo vaa boxer au suruali sehemu za siri zinakua na joto sana na nikivua nguo kende yanakua yamelegea kama mlenda.
Je hili tatizo lina madhara gani na je nifanye nini ili kuliepuka?, maana mwezi wa nne huu natafuta mtoto lakini sipati.
Je hili tatizo lina madhara gani na je nifanye nini ili kuliepuka?, maana mwezi wa nne huu natafuta mtoto lakini sipati.