Joyce Kiria alalamika hadharani kunyimwa "Dyudyu"

Joyce Kiria alalamika hadharani kunyimwa "Dyudyu"

Safi sana Manka
Hukuja mjini kukimbizana na Ukuta sijui serikali

Ni pesaa tu
 
Aisee,
31433214_1719054714852880_5165148642494906368_n.jpg
KWANI SI ALISHASEMA KUWA YEYE NI singo?
 
Kati na Mangi Kimambi na J.Kiria yupi aliyedata zaidi? J.Kiria kwa Mangi Kimambi ni cha mtoto, lkn ndo anayeongoza sera za chadema sasa hivi hata Mashinji kafunga safari ktk TZ kwenda USA kumfwata kuomba ushauri, ...
We nae, Mange alishasema hana chama. Sio kila anaipinga serikali ni CHADEMA, embu jiongeze.
 
#WANAWAKELIVETZ tumeandaa program ya Kufundisha ujasiriamali, DARASA hili la UJASIRIAMALI litatolewa bure kabisa, mtaweza kujifunza

  • Ufugaji, kilimo na biashara.
  • Utengenezaji wa sabuni ya mche.
  • Utengenezaji wa sabuni ya maji ya kuogea, kufulia na chooni
  • UTENGENEZAJI WA BATIKI
DARASA hilo litatolewa na walimu wenye ujuzi wa kutengeneza bidhaa zenye ubora wa hali ya juu. WOTE MNAKARIBISHA SANA.

DARASA ilo litafanyika Dar-es-salaam Tegeta, Nyuki {ukitokea sehemu yoyote ya Dar-es-salaam panda magari yanayoenda Tegeta, Nyuki kisha shuka mwisho wa gari. Harafu utapiga simu 0783137777 ili upewe maelekezo ya kufika.

KWA MAWASILIANO PIGA 0783137777
Mnaanza kwa kusema bure lakini watu wakifika huko mnaanza jamani mchango wa kumchangia mwalimu fedha ya nauli,mara kulipia sehemu ya ukumbi etc,Kama ni Bure kweli nyie mnafiadika na nini? au ni kazi ya kanisa mnalipwa na mungu?
 
Back
Top Bottom