Hossam
JF-Expert Member
- Feb 10, 2011
- 3,544
- 2,169
HahahahaSasa mwanamke mwenye akili atazungumza hayo mambo ya kutombwa hadharani?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahaSasa mwanamke mwenye akili atazungumza hayo mambo ya kutombwa hadharani?!
Ukiachwa achika [emoji17] [emoji17]
KWANI SI ALISHASEMA KUWA YEYE NI singo?Aisee,
![]()
KWANI SI ALISHASEMA KUWA YEYE NI singo?Aisee,
![]()
Asingemlalamikia EX wake... apate anakopataga..... Anayoyasema leo ni madogo sana kulinganisha na aliyokwisha msema...Ile kitu haina mambo ya U-Singo Mkuu, unless pale pazibe labda
Sasa kwa taarifa yako, kati ya Joyce Kiria na Mange Kimambi huyu Kiria ana afadhali.Huyu mwanamke ni matak#o kiasi hiki. Pumbafu kabisa
KumbafuSasa kwa taarifa yako, kati ya Joyce Kiria na Mange Kimambi huyu Kiria ana afadhali.
Take it or not
MwenyeweKumbafu
We nae, Mange alishasema hana chama. Sio kila anaipinga serikali ni CHADEMA, embu jiongeze.Kati na Mangi Kimambi na J.Kiria yupi aliyedata zaidi? J.Kiria kwa Mangi Kimambi ni cha mtoto, lkn ndo anayeongoza sera za chadema sasa hivi hata Mashinji kafunga safari ktk TZ kwenda USA kumfwata kuomba ushauri, ...
Mnaanza kwa kusema bure lakini watu wakifika huko mnaanza jamani mchango wa kumchangia mwalimu fedha ya nauli,mara kulipia sehemu ya ukumbi etc,Kama ni Bure kweli nyie mnafiadika na nini? au ni kazi ya kanisa mnalipwa na mungu?#WANAWAKELIVETZ tumeandaa program ya Kufundisha ujasiriamali, DARASA hili la UJASIRIAMALI litatolewa bure kabisa, mtaweza kujifunza
DARASA hilo litatolewa na walimu wenye ujuzi wa kutengeneza bidhaa zenye ubora wa hali ya juu. WOTE MNAKARIBISHA SANA.
- Ufugaji, kilimo na biashara.
- Utengenezaji wa sabuni ya mche.
- Utengenezaji wa sabuni ya maji ya kuogea, kufulia na chooni
- UTENGENEZAJI WA BATIKI
DARASA ilo litafanyika Dar-es-salaam Tegeta, Nyuki {ukitokea sehemu yoyote ya Dar-es-salaam panda magari yanayoenda Tegeta, Nyuki kisha shuka mwisho wa gari. Harafu utapiga simu 0783137777 ili upewe maelekezo ya kufika.
KWA MAWASILIANO PIGA 0783137777