chiko mkunungu
JF-Expert Member
- Jan 8, 2017
- 729
- 646
Hana akili uyo uwa cmpendi...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo Kileo ndo kala za mbavu. Alikuwa anasaidiwa maisha tu kwasababu mangi mwenzake baada ya mdada kumchuna pesa Mtu mwingine na kuanzisha Wanawake Live.Kileo alikua na haki kumtaliki huyu aliyeamua kujivika uccm ili kutetea kipindi cha wanawake live, mke bora husimama na mumewe hata kwa kulala njaa badala ya kujipekecha mdomo gizani
Nimekua nikiona post zake mara kwa mara akisema single life na akishauri wanawake wenzake kutokukaa kwenye ndoa zenye matatizo,hizi statement mbili hizi zinaonyesha kuna walakini kwenye marriage yake.
View attachment 594454
Jidanganye tu huyo dada ameshaolewa mara 2 kanisaniBado ana ndoa yake. Ndoa za kanisani hazina taraka.
Mabeki 3 mpaka kwenye bible hawana sifa nzuri......nadhani hiyo laana bado inawatembelea.Afu kumbuka elimu yake huyo ilikua ni darasa la 7 na alikua beki 3 kabla
Pumzi ishakataKaka tupe mrejesho wa YouTube vipi seduce na zilipendwa nani anaongoza mpk dkk hii.....sorry kwa kutoka nje ya mada
Hilo limama ni gold digger kileo wakati anagombea ubunge kwao upareni hilo kengeza mbona lilikua nae bega kwa bega, coz lilijua jamaa akiwa mbunge basi na lenyewe mambo yatalinyookea.Huyo Kileo ndo kala za mbavu. Alikuwa anasaidiwa maisha tu kwasababu mangi mwenzake baada ya mdada kumchuna pesa Mtu mwingine na kuanzisha Wanawake Live.
- Sasa Kileo hana kazi, kila siku yuko mitandaoni " Pipooz pipooz" kwanini asile KIBUTI.
Wanawake 95% ni gold doggers, ni level tu ndio zinatofautiana.Hilo limama ni gold digger kileo wakati anagombea ubunge kwao upareni hilo kengeza mbona lilikua nae bega kwa bega, coz lilijua jamaa akiwa mbunge basi na lenyewe mambo yatalinyookea.