hahahahhMbona leo hajapaka mafuta??
Quote of the day.Sisi nyumbu tunajuwa kukalia pichu zetu, hakuna anaejua rangi yake. Mambo ya ndani ni pichu yako haitakiwi mtu aione zaidi ya mumeo.
MWANAMKE KALIA CHUPI YAKO
Mtu akishaanza tabia za namna hii ana depression amekataliwa na anajikataa yeye mwenyewe pia.mnaweza kuja kusikia kajiua huyu hayuko sawa kichwani.Joyce Kiria aibuka tena na issue ya mumewe lakini awamu hii amewachana wanaombeza.
Instagram:
joycekiriasuperwoman: Watu wangu Nifunzeni jinsi ya kusonya na kunyali nyumbu wote waliotoka povuuuu na wanaoendelea maana wanawashwaaaaaa Wajinga wengi mnooooo
Hahahah nani huyo mwenyw PhD??Huyu mkibosho amekauka kma anakula saruji ya dangote,huyu kazi kujifanya mshauri wa mambo ya familia kma yule tapeli mwenzake anaejiita mshauri mwenye phd
Mi nashangaa anavyoleta huku kwenye social media sasa toka.aanze kuandika sisi tumemsaidia nini zaidi ya kumshangaaHahahah nani huyo mwenyw PhD??