Joyce Kiria ana ujumbe kwa haters wake, baada ya kupondwa kuweka hadharani mambo ya familia

Joyce Kiria ana ujumbe kwa haters wake, baada ya kupondwa kuweka hadharani mambo ya familia

wa Kwenye avatar yangu ni m black beauty wa nguvu. Hafananii kabisa na Bi Joy
lauryn_hill_photo_by_anthony_barboza_archive_photos_getty_114465492.jpg

A-42627-1198045228.jpeg.jpg
Lauryn Hill
 
Mi nashangaa anavyoleta huku kwenye social media sasa toka.aanze kuandika sisi tumemsaidia nini zaidi ya kumshangaa

yaani ndugu, hata mimi najiuliza weee, maana hata anakokaa hatukujui, yeye ndie anatuambia!! afadhali hata tungekuwa naye mtaa mmoja!
 
Mara paap, unamsikia mkeo mkeo Anadai huyu Ndio role model wake[emoji274]

Hivi waajiri wake wanaruhusu mfanyakazi wao tena muelimisha jamii atukane Hivi halafu bado Anaendelea na kipindi cha harakati?
Hahahaaaaa.... Paaap misonyo chumbani
 
Mwanamke ni mwanamke tu,hata wewe uliye na pesa na upo kwenye ndoa ishiwa uone moto unavyowaka
Ukiishiwa tu sikuizi hata kama una demu anakupenda. Akijua tu huna, ghafla amenuna, hana furaha yaaan anakuwa na majib majib tu yasiyo mazuri.
 
KOSEAA VYOTE KWENYE MAISHA YAKOO... Usikosee Kuoaa
 
Back
Top Bottom