Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,256
- 16,317
hahahaha mweeeeee ya leo kaliSisi nyumbu tunajuwa kukalia chupi zetu, hakuna anaejua rangi yake. Mambo ya ndani ni chupi yako haitakiwi mtu aione zaidi ya mumeo.
MWANAMKE KALIA CHUPI YAKO
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahaha mweeeeee ya leo kaliSisi nyumbu tunajuwa kukalia chupi zetu, hakuna anaejua rangi yake. Mambo ya ndani ni chupi yako haitakiwi mtu aione zaidi ya mumeo.
MWANAMKE KALIA CHUPI YAKO
Mkuu acha kabisa.....hawa viumbe wasikie tu. Ni balaaDuh yaani jinsi Kilewo alvyokuwa decent ndio kaangukia kwa mwanamkewa namna hii?? Laiti ingekua siwafahamu....
Ouch! That is cruel.If marriage is a hand of man, then this woman is its middle finger. A very stupid woman in her category, who cant even help herself.
Mbona anafanana na avatar yako (minus nywele)?Ndio wanawake ambao wanaume mnavutiwa nao mkiwaona. Acha muisome namba
Vipi, unataka kwenda kumliwaza?Huyu bibi anakaa wap, bibi amekosa busara kabisa Huyu bibi
Yeye mwenyewe chini ana pango, halafu nimwongezee lingineVipi, unataka kwenda kumliwaza?
Eti "bibi anakaa wapi." Kuna bili ya pango ya milioni 40 huko. Unazo?
[emoji23][emoji23][emoji23]Yeye mwenyewe chini ana pango, halafu nimwongezee lingine
wa Kwenye avatar yangu ni m black beauty wa nguvu. Hafananii kabisa na Bi JoyMbona anafanana na avatar yako (minus nywele)?
We hujui kuwa watu wanaweza kuua kumpata black beauty?wa Kwenye avatar yangu ni m black beauty wa nguvu. Hafananii kabisa na Bi Joy
![]()
![]()
We hujui kuwa watu wanaweza kuua kumpata black beauty?
Tukiwaweka wawili nyie halafu watu wapige foleni kwa wampendae utashangaa foleni ya bibie kwenye avatar yako itakavyofurika wanaume rijari, wazungu kwa wanugu, vijana kwa wazee.
Keep your head up lady, you are more beautiful than you rate yourself.
Chezea black beauty wewe.