Joyce Kiria ana ujumbe kwa haters wake, baada ya kupondwa kuweka hadharani mambo ya familia

Joyce Kiria ana ujumbe kwa haters wake, baada ya kupondwa kuweka hadharani mambo ya familia

Huyu yupo kwenye msongo wa mawazo wa level za juu sana. Anashangaa Mumewe hajibu kitu kwa media na hii inazidi kumfrustrate. Poor her. Aanze kutumia sasa zile ngojera alizokuwa anatumia kuwajaza wafuasi wake.
 
Sisi nyumbu tunajuwa kukalia chupi zetu, hakuna anaejua rangi yake. Mambo ya ndani ni chupi yako haitakiwi mtu aione zaidi ya mumeo.

MWANAMKE KALIA CHUPI YAKO
Theluthi moja tu ya Wanawake wangekuwa wanalitambua hili kama wewe basi ndoa nyingi sana zingebakia salama. Wewe una akili sana.

 
Mgosi sioni sababu ya kunitusi, huenda nikawa na umri Kama Mzazi wako, hukutumia busara. Namjua kwakua ni kiongozi wangu wa Chadema lakini pia nimefanya nae biashara. Nisingependa nikutukane ila nakustahi.
Kwani Joyce ni MGOSI?
 
Ila nilichofurahi zaidi ni Kilewo kuamua kukaa kimya, kaonyesha hekima ya hali ya juu sana, nafikiri huyu mbeijing alianzisha hii movement akitegemea majibizano na league kutoka kwa mmewe matokeo yake imekuwa tofauti kabisa ndio maana mnaona anazidi kuchanganyikiwa siku hadi siku.
Siku zote jibu la mjinga ni kukaa kimya tu
 
Joyce Kiria aibuka tena na issue ya mumewe lakini awamu hii amewachana wanaombeza.

Instagram:
joycekiriasuperwoman: Watu wangu Nifunzeni jinsi ya kusonya na kunyali nyumbu wote waliotoka povuuuu na wanaoendelea maana wanawashwaaaaaa Wajinga wengi mnooooo




Yaani ndo haka kale kachangu kasichojitambua? Basi ilikuwa ni vema akpigwe tu, mbona hajavunjika hata mkono, mtu kama huyu yabidi kumpiga kama unapiga mwizi ili avunjike vunjike tu mwilini ashike adabu. Ana bahati sana, jamaa alimpiga kimapenzi si kwa kumkomoa.
 
Huruma jamani, kuweni na huruma, hamuoni kuwa mwenzenu anahitaji kusaidiwa ata kwa ushauri?
 
Hiyo mikunjo husoni ni dalili nzuri kabisa kuwa anastress na asipowahiwa atadata. Wosia kwa vijana ambao hawajaoa, wajifunze kupitia hapa, muombe Mungu akujalie mke mwema, ukikutana na kirambasi kama hichi unaharibu kabisa maisha yako.
 
Huu ugonjwa unaitwa "Kichaa cha ndoa". Ni ugonjwa hatari sana wa akili. Huwaathiri zaidi wanawake kuliko wanaume.
Mwanamke akishapata huu ugonjwa; Asilimia 75 hesabu hapo hakuna ndoa tena, wala hakuna matibabu. Wachache sana huwa wanabahatika kupata matibabu sahihi na kupona kabisa huu ugonjwa.
Huyu kapata anaemkazia fresh ndio sababu ya yote haya ktk familia.
 
wewe unafaa kuwa mke wa nani?? kila binadamu anamapungufu usijaji sana kanakwamba wewe uko sahihi sana,mambo ya kifamilia kwelii kakosea kuanika mambo hadharani lakini usiseme amekosea,kesho ukikuta wanakumbatiana na kuzalishana watoto wengine nani atabaki mdomo wazi wewe au yeye??


Pole km Kileo ni shemejio............... hapo nitolee harudi ng'o bora huyo Joyce angekaa kimya angemfikiria lakini sasa hivi Kileo karudi bachela squared hawezi kukaa na mwanamke stressfull kama Joyce aisee. Unaona kila leo kwenye media but Kileo busy na life yake na kutafuta maisha ukikutana nae atakuambia jinsi hata haoni shida saaana kamwambia kama anaona hawezi kukaa na hao watoto ampe yeye atalea mwenyewe. Kiruuu dada wa dyudyu yamemkuta lazima apagawe
 
Wajameni, mkishajiona mmezeeka hivi, kaeni mbali na social media, maana mnajitia aibu. Sasa hiki nini hiki?
 
Sisi nyumbu tunajuwa kukalia chupi zetu, hakuna anaejua rangi yake. Mambo ya ndani ni chupi yako haitakiwi mtu aione zaidi ya mumeo.

MWANAMKE KALIA CHUPI YAKO
Huyu bidada kaamua kuvaa BIKINI tu safari hii.
 
Joyce Kiria aibuka tena na issue ya mumewe lakini awamu hii amewachana wanaombeza.

Instagram:
joycekiriasuperwoman: Watu wangu Nifunzeni jinsi ya kusonya na kunyali nyumbu wote waliotoka povuuuu na wanaoendelea maana wanawashwaaaaaa Wajinga wengi mnooooo


amejichokea huyu mwanamke ile mbaya
 
Back
Top Bottom