Huyu dada sikubaliani nae hasa kuleta mambo yake ya familia,Yaani mumewe kuchepuka na mmoja tu analalamika dunia nzima kwa page ndefu ya lawama. Ingekuwa ni ile enzi ya mitume waliokuwa na wake zaidi ya 10 huyu angejiua. Wanawake wabinafsi sana. Unataka uwe peke yako kwani wewe ni mama yake mzazi.
Anatoka kwa mangi anahamia kwa mangi wachaga wanautamu flan hiviAnatumia moza_ally_mushi
Anatumia moza_ally_mushi
umejibu kikamanda mama...sema huyu mwanamke anamatatizo ndoa ya pili anaachika af yeye siku zote ndo mlalamikaji..kweli nyani haoni k..ndu..eWivu wa nini hata kama angeongwa magari mia!!!
Kumuacha amuache yeye.. kumchafua mitandaoni amchafue yeye kujionyesha gangwe.. now ana mwanamke anampa raha anamuita mario aiseee nicheke tu..😀
Hata kama pesa anaitamani basi..
Ajue kunyamazia mengine shaaaaa
Ni kweli kamanda hakua na shida tatizo kamchafua mno mitandaoni had kurudi inakuwa ngumu. Kileo vile mwanaume hayatoi nje ya kiria yalivo. Mi naomba kabla ya kurudiana amnyooshe mpaka awe na heshima kwanzaNakuambiaje.... Joyce angekuwa hajaanika mambo ya ndoa yake hadhani Kileo siku nyingi ngekuwa amesharudi mbona. Hakuna mkate mgumu mbele ya chai. Shida ni kwanza huyo Demu akili sifuri kila jambo lazima alilete mitandaoni. Hakuna Mwanaume mwenye akili timamu anaweza kuvumilia hilo.
Ngoja nikamuongezee followers kiboko ya Joyce
Hiyo ni nature tu. Halafu hakuna mwanaume anapenda kuwa controlled na mwanamke. Kila mtu ajue nafasi yakeHuyu dada sikubaliani nae hasa kuleta mambo yake ya familia,
Lakini na nyinyi wanaume acheni kuwa waroho.
Yani ni mtoto mdogo ntajiunga tawi la kinondoni na Mimi nimpate huyo mtotoHahaaaaa kamunyoosha kweli walah
Anatoka kwa mangi anahamia kwa mangi wachaga wanautamu flan hivi
Yani ni mtoto mdogo ntajiunga tawi la kinondoni na Mimi nimpate huyo mtoto
Mzuri. Mwanume hawi mrembo!!!Kumbukumbu ilinipotea. Kumbe ndiyo yule Kamanda? Ila ni Mrembo. Joyce ana kila sababu ya kuwehuka hapo.
Nisingekuona kwenye hii thread basi ningeamini siku hizi kuna mbuzi anayetaga mayai ya bataNi kweli kamanda hakua na shida tatizo kamchafua mno mitandaoni had kurudi inakuwa ngumu. Kileo vile mwanaume hayatoi nje ya kiria yalivo. Mi naomba kabla ya kurudiana amnyooshe mpaka awe na heshima kwanza
Ni kweli kamanda hakua na shida tatizo kamchafua mno mitandaoni had kurudi inakuwa ngumu. Kileo vile mwanaume hayatoi nje ya kiria yalivo. Mi naomba kabla ya kurudiana amnyooshe mpaka awe na heshima kwanza
Nimezimiss Likes zako... yani najisikia mpweke na nisiye na thamani kama mlango wa bodaboda.Bado anampenda maskini!!!!!
Ningeshangaa sana nisingekuona hapa. Maana wewe na ubuyu ni sawa na Jiwe na Bashite.Ngoja nikamuongezee followers kiboko ya Joyce
🤣🤣nitakupa kama zote usijaliNimezimiss Likes zako... yani najisikia mpweke na nisiye na thamani kama mlango wa bodaboda.