Joyce Kiria bado anatapatapa. Amvua nguo 'mume wake', Henry Kilewo

Joyce Kiria bado anatapatapa. Amvua nguo 'mume wake', Henry Kilewo

ndio dawa yao hawa mbavu zetu "... nakumbuka niliwahi beba chupi ya demu mmoja hivi nikaiweka mfukoni " demu wangu permanent wa wakati huo " akaja kuchukua nguo na kwenda kuzifua akakutana nayo ... pakachimbika bila jembe
ikawaje mwisho wake?
 
enzi za ujana hizo mkuu " nilikuwa mwehu sana " nakumbuka nilikuwaga na demu ni cheche ile mbaya na mimi moto unawaka " so ilikuwa Kama twakomoana hivi kwa sababu sote tulielewana na hakuna aliyekuwa anataka kumuacha mwenzie "... basi bwana kuna siku alinivuruga nikaona sio kesi " ... tulipokuja kukutana kwa bed ili tufanye matusi kati kati ya mchezo sinika jifanya nimenogewa ... hahaaa " nikaanza kulitaja jina la rafiki yake "... daaah ili kuwa balaa
aisee,ikawaje?
 
Back
Top Bottom