Kavimba wapi? Au K?Hahaaaaa jamani waweza muua Joyce ujue kalia had kavimba sasa akiona akumbuka maumivu up ya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kavimba wapi? Au K?Hahaaaaa jamani waweza muua Joyce ujue kalia had kavimba sasa akiona akumbuka maumivu up ya
Alivimba macho maana anajitaftia matatizo mwenyeweKavimba wapi? Au K?
Tatizo nye.geHivi huyo mama hana mavitu ya kufanya zaidi ya kusimulia habari za mumewe???
Kwani hawana mama yao?Muombe ukawalee
Kakali balaaKale katoto hata mimi nakatamanigi sana.
Yes tena vizuri tuu...Joy pale hapati kituJamaa.anaweza kuwalea hata kama wameachana
Kwako Kilewo wangu,
Kwanza kabisa nakushukuru sana kwa uwepo wako katika Maisha yangu, UPENDO wako wa awali ulinifanya nione hakuna kama wewe hapa duniani. Ulinipenda, ulinidekeza, ulinijali, ulilinda hisia zangu, uliniaminisha hutakuja kunisaliti, uliniaminisha wewe ni Mume bora na Baba bora na Kiongozi bora. Nikakupenda sana, nikajitoa sana, nikakuheshimu na kukupa Thamani yako yote.
.
Nakushukurua sana kwa Baraka ya Watoto wazuri Lincon & Linston. Kipindi cha Miaka miwili bila Amani kwenye Ndoa yetu hakika wamekuwa Faraja yangu Kubwa sana. Japo muda mwingi nakuwa nimezubaa kwa mawazo, Watoto hujua na kuniuliza "mama mbona unanuna?" Huyo ni Lincon! Basi natabasamu kuwaridhisha wanangu japo Moyo wangu una MAUMIVU makali sana ambayo baba yao kanijeruhi.
.
Mume wangu umeisambaratisha familia yetu bila huruma, umetuacha hapa kama wakiwa. Ujasiri wa kunipiga kote kibao ni huyo MBWA, unafanya biashara nyumbani huleti hata shilingi kwa ajili ya huyo shetani, Huo ndo Uongozi Kweli Mume wangu? huo ndo UKAMANDA Mume wangu?
.
Tulikukosea nini Mume wangu? Unajimilikisha gari ya hawara bila aibu unazurura nayo kila kona , unakuja nayo mpaka nyumbani, ulitaka nikuiteje kama siyo MARIOOO. ulitaka nikuite nani Mume wangu, kama unaweza kuhongwa gari na Kahaba bila aibu unakuja nayo mpaka Kwangu ulitaka nikuiteje ebu niambie??? Sikupata jina baya zaidi hakika ningekuita tuu kwa MAUMIVU uliyonipa..
.
Nashukuru sana umenifanya nijifunze kumpenda MUNGU zaidi kuliko binadamu. Binadam tunabadilika sana. Nilikwambia kwa machozi Mengi sana kwama UNAMPENDA MUOE unipe Talaka. Ukanikatalia hutoki nae japo Dunia inajua ni mchepuko wako. inaumaaaa.. Pata Picha ingekuwa ni Mimi nakuja Nyumbani na gari ya Mwanaume unaesikia natembea nae... Ungekuwa unajiskiaje Mume wangu.
Mume wangu wewe ni Kiongozi, Chagua mwanamke unaempenda umuoe utulie. Ni aibu kujiita KIONGOZI lakini huheshimu familia yako. UONGOZI ni DHAMANA kubwa, unatakiwa uongoze watu kwa mfano mzuri.mfano wa kwanza ni kwenye familia yako Siyo kwenye Taasis, ukatibu wa chama, udiwani, ubunge, Ni nyumbani kwako. Nasikitika Watu wengi wanaokuzunguka wengi hamthamini familia zenu kabisa.. INASIKITISHA!
Source : JKiria Page
Mpare asietaka kujulikana ni mpareHawez kuwa mpare yule trust me!
Instagram katoa tena povu kumlilia mtu ni kumvimbisha kichwa aiseePumbavu saana, ukweli ni kua Kiria bado anasumbuliwa na wivu na mumewe, alimuacha kwa tambo bado unalia lia nini sasa, MWANAUME ni MWANAUME TU
Acha kukashifu mitume..hawakufanya na wala hawakutegemea kwa matamanio yao bali ni kwa amri ya mwenyezi munguYaani mumewe kuchepuka na mmoja tu analalamika dunia nzima kwa page ndefu ya lawama. Ingekuwa ni ile enzi ya mitume waliokuwa na wake zaidi ya 10 huyu angejiua. Wanawake wabinafsi sana. Unataka uwe peke yako kwani wewe ni mama yake mzazi.
Watake radhi jirani zanguMchaga mshamba sana huyu atakuwa wa kishumundu
Mganga hajigangiHahahahaaa kweli ndoa haina chuo hawa watetea haki ukiwafata kwa matatizo yako ya ndoa wanakwambia omba talaka wao bado wanapambana na waume zao 🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂
Hao hawana tofauti na wale Motivational SpeakersNaonaga huko kwenye groups za wanawake!!
Sample ya Jini KisiraniKunguru hafugiki huyu mama Joyce kiria ni kisirani miongoni mwa visirani maishani.....kukutana naye bora umezwe na CHATU
Mpare bana nadhani wa MwangaHawez kuwa mpare yule trust me!
Sasa nani ananyooshwa hapo?hahahaha Kamanda Kilewo acha unyooshwe na Kiria hahahaha
Hii ndio ile ya OPERESHENI ya watoto waliotelekezwaChagga WomanView attachment 926851
Mfalme SuleimanWe unazungumzia 10, mtume MUhammad SAW alikuwa na wake 700 katika kipindi chake na hapo still kulikuwa na michepuko 300!
Tatizo umekuta muvi ipo kati...Kama ni kweli, Joyce kwa mara ya kwanza namuonea huruma. Tunaweza kumponda kwa tabia zake za kuandika upupu ila inaumiza mno kufanyiwa vitendo hivyo, wenye ndoa mnanielewa.
Joyce ashauriwe vyema, kama ndoa imeshindikana, basi apewe taraka yake aishi kwa amani. Kuumia ukiwa ndanj ni tofauti na kuumia ukiwa nje!. Pole sana dada!! Wanaume sijui tuna shida gani?
Better u tell yo colors, ka unapenda wake wengi ijulikane, sio unaapa utakuwa na mmoja halafu unaoa mwngne. Kuchepuka kupo, ila sio mpaka umuoneshee madharau wife live!