Joyce Kiria bado anatapatapa. Amvua nguo 'mume wake', Henry Kilewo

Joyce Kiria bado anatapatapa. Amvua nguo 'mume wake', Henry Kilewo

Sasa huko kulalamika kumemsaidia nini zaidi ya watu kumuona hana akili, kaharibu had kipindi chake kimekosa mvuto kwa jamii. Ujue kila mtu Ana matatizo yake Ila Wana solve kimya kimya tu.
Alikosa sana kuskiliza ushauri. Ujue ambition yake alitaka amfikie oprah Winfrey, asijue kufika pale kuna hitaj nidhamu sana
 
Mi ukiwa Ex wangu af kila siku naskia unasema sijui kukatika najua tu unamiss nilivokuwa nakuminya mbavu!
 
Mwambien Huyo Mwanamke Ajichunguze Ni Wapi Anakosea Cyo Bure.
Source - JF Expert Member
 
#WANAWAKELIVETZ tumeandaa program ya Kufundisha ujasiriamali, DARASA hili la UJASIRIAMALI litatolewa bure kabisa, mtaweza kujifunza

  • Ufugaji, kilimo na biashara.
  • Utengenezaji wa sabuni ya mche.
  • Utengenezaji wa sabuni ya maji ya kuogea, kufulia na chooni
  • UTENGENEZAJI WA BATIKI
DARASA hilo litatolewa na walimu wenye ujuzi wa kutengeneza bidhaa zenye ubora wa hali ya juu. WOTE MNAKARIBISHA SANA.

DARASA ilo litafanyika Dar-es-salaam Tegeta, Nyuki {ukitokea sehemu yoyote ya Dar-es-salaam panda magari yanayoenda Tegeta, Nyuki kisha shuka mwisho wa gari. Harafu utapiga simu 0783137777 ili upewe maelekezo ya kufika.

KWA MAWASILIANO PIGA 0783137777
Mnaanza kwa kusema bure lakini watu wakifika huko mnaanza jamani mchango wa kumchangia mwalimu fedha ya nauli,mara kulipia sehemu ya ukumbi etc,Kama ni Bure kweli nyie mnafiadika na nini? au ni kazi ya kanisa mnalipwa na mungu?
 
HAHAHAHAHA mkuu umenichekesh sana, shida haiko kwa wachaga tu bali ni wanawake wenye kaliba ya ujuaji na ushamba toka kichwani af hawana lolote, yakiwashinda huwa wanabwata hovyo, huyo mavuzi alitegemea mda wote waliotengana KAMANDA alikuwa anapiga nyeto nini! Hapo ndio akili ya mwanamke inapodhihirisha ubovu wake, yani we tumetibuana kisha nikapata mtu mwengine wa kuniliwaza ukaamua kuomba msamaha tuyajenge,,tunarudiana halafu unaanza kunilaumu tena eti nimekusaliti ha ha ha ha huyu kiria ni faraaa!!!

Joyce na Faiza inabidi waingie kwenye TzWomen book of wonders, wana vituko endlessly!
aiseeeeee
 
Hao ndio mademu wa kuwa nao aisee, sio hawa kajamba nani mtu alikusaidia nauli ya kwenda interview ukapata kazi ndio inakuwa point ya kukusimangia hio, kila mkipishana kidogo eti kisa una kazi sahivi!!! Shenzee,
mmmhhh!!
 
Back
Top Bottom