Joyce Kiria na akaunti yake ya Facebook

muachen tu huyo atakuwa na mchepuko anaulingishia paja
 
nilikuwa naamin wanao tokea background kama za uhouse girl hawez leta hivi vituko navunja hyo iman
 
Akikuwa ataacha huyo. Hata bibi yangu alipitia ujana lakin leo amesahau na tena wala hakumbuki alifanya nini wakati wa ujana wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…