Si useme tu ni stick ya romboha ha ha kinachonichekesha siri yangu
Na hii nayo ipo vzr
Me sijasemaSi useme tu ni stick ya rombo
Me sijasemaSi useme tu ni stick ya rombo
Sawa mtani nitaendaSasa inabidi ukamshauri wifi yako aache hizo mambo wakati umeshapita...
Aisee, huo mkao tu. Mengine ngoja yabaki moyoni tuNa hii nayo ipo vzr
Miss you too Bro.Dada yangu kumbe upo?
Miss you a lot
Huku ni shida tupu wamenivunjia nyumbaMiss you too Bro.
Huku kijijini tu wazima mvua tu.
Vipi huko mjini wanasemaje 🙂
Nahisi ni huo mguu wa kulia unaofanana na wa mchezaji wa ndanda fc.ha ha ha kinachonichekesha siri yangu