sir venance
Senior Member
- Oct 26, 2017
- 151
- 223
weka picha
Nahisi hivyo hata mimiMm nahisi kama hili swala liko kisiasa zaidi,sijui labda
Japo ni kweli wabab wengi wanatelekeza watoto wao ila kwa nnavyoona kama kuna watu Fulani wanatafutwa
Mwanadada Joyce kiria ambaye pia ni mtangazaji maarufu wa kipindi cha wanawake live ni miongoni mwa wanawake waliofika Leo katika kuitikia agizo la mh Paul makonda linalowataka wanawake wote waliotelekezwa na waume zao wafike kumueleza matatizo yao.
Kwamba atamkula???She is an attention seeker!
And Makonda is clueless!
Huyu HapaView attachment 739211
Vyuma vimekaza aswaaaaaMbona USO umekomaa kama haujapata mafuta mwaka mzima?????
[emoji106]Mm nahisi kama hili swala liko kisiasa zaidi,sijui labda
Japo ni kweli wabab wengi wanatelekeza watoto wao ila kwa nnavyoona kama kuna watu Fulani wanatafutwa