Joyce Kiria ni aina na mfano wa wanawake wa kuwakwepa kuwaoa

Joyce Kiria ni aina na mfano wa wanawake wa kuwakwepa kuwaoa

I think she has some sort of mental disorder...
 
Uyu dada ndoa ilimpitia kushoto anafurukuta kutafuta wafuasi wa kufa nae kwisha habar yake
 
Nani amesikia anamtaka

Akajimbato mwenyewe na mti

Akwende zakw
 
...Malaya kama hawa sijui kwanini wanapewa Airtime kiasi hiki...
 
Wakuu,

Kabla huzuni na majonzi hayajatutoka kufuatia mauaji ya mwanamke mrembo na wa kisasa kuuwawa na mumewe huko Mwanza, mtajwa hapo juu bibie Joyce Kiria anazidi kupigilia 'msumali' na kuwashauri ujinga mabinti zetu na wanawake walio katika unyoofu wa maadili.

Nashauri wanaume mnaojielewa Huyu ni aina ya wanawake wakuwakwepa kama ukoma linapokuja suala la ndoa au mahusiano ya muda mrefu.

View attachment 2246071

Mtakuja kunishkuru.
Mara nyingi huyu dada hujifanya mpambanaji na mtu anayetaka kuondoa mfumo dume. Nilitegemea aeleze kuwa mwanaume anayemtaka wata share 50/50 expenses za maisha lakini inakuwa tofauti.

Huyu Dada akili zake box. Wanawake wanaomfuatilia lazima waachike tu. Kileo alivumilia mengi
 
Masikini akipata matako hulia mbwata!.
 

Attachments

  • 285567613_134236282556946_7773361416223694353_n.jpg
    285567613_134236282556946_7773361416223694353_n.jpg
    28 KB · Views: 15
Huyo mashabiki zake ni wanawake ambao ndoa zimewashinda sasa huwa wanakutana kwa page yake kutengeneza ushawishi kwa kila mwanamke kuwa ndoa ni kitu kibaya na kwamba wanaume ni wanyanyasaji hata akikugombeza kidogo usikubali dai talaka ni dalili ya ukatili😄 machoni wanajidai ma superwoman ila usiku wanalia na kujutia wanayo pitia
Hahaha
 
Back
Top Bottom