JPM boarded dreamliner to Mwanza

Anamaamuzi ya kufanya chochote hilo halina ubishi. Lakini haiondoi kilichosemwa na mkurugenzi wa shirika la ndege kwamba ilikua mbovu.
Mkuu upo sahihi..
Ndege ilikuwa mbovu kwa siku 3..tarehe 14,15,na 16.
Ilianza kuruka jana.
Huo ndio ukweli.
 
Wacha kuwa mtu wa rumors n speculations! He can decide which means of transport to use. Even if he chooses to walk on foot all the way to Mwanza, it's none of business to judge!
Word walahi!
 
Hii nchi ni funny sana,
Kila kitu rais wao anafanya kazi ni kucelebrate!!!
Ushamba ata BURUNDI huwezi ona
 
Hii nchi ni funny sana,
Kila kitu rais wao anafanya kazi ni kucelebrate!!!
Ushamba ata BURUNDI huwezi ona

Sasa ulitaka tucelebrate anachofanya Trump au Munangagwa.
Kweli kuna viumbe wa ajabu duniani.

Nisipoipenda NCHI yangu, nani ataipenda.
Nisipompenda rais wangu, nani atampenda.
Nisipomuamini RAIS wangu, nani atamuamini.

JPM juu. Tulio UPANDE wako ni wengi kuliko walio DHIDI YAKO.
 
UK to inaugurate Kq direct flight to the U.S. I know most Kenyans don't give a damn like they don't care and it's none of their bizniz.
Magu anapanda ndege kutoka dar mpaka mwanza na hatupumui humu ndani!!! hehee
enyewe,,, kama vile mdau mmoja aliwahi sema hapa kuwa kila mmoja asherehekee kwa level yake,,, sasa ndio wakati mwafaka wa kukubaliana naye 100%.

Mods tafadhalini ondoeni watz kwa Kenyan section. Kenyans are known to be intelligent but it's unfortunate I can't say the same to the Tanzanians in here who behave like primates
 
Hahah hawa watu ni noma...
Kazi ni kuaibisha east Africa
 
Wakenya watapata taabu sana.
Tabu ipi sasa. Wanawashangaa na ushamba wenu kandege kamoja kelele mingi mngekuwa na hata 5 si dunia mzima ingepata tabu. Watanzania tuache mdomo wakenya siyo level yetu na pia naona washaona ni upumbavu kujilingnisha na Tanzania ndo maana huwa wanapiga kimya mnaachwa mbishane wenyewe Kama mazuzu
 
Hahah hawa watu ni noma...
Kazi ni kuaibisha east Africa
The difference between us and you is our the most interconnected solidarity of the nation, we have the pure common bound of loyalty and patriotism to our country the world has ever experienced and that's legacy Nyerere built into this nation for his entire life.

You can't find it in Kenya thus defining it unusual because you don't have it, your founders failed to unit you as one nation that's why no one gives a shit to kenyatta and he's not even famous and respected.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…